Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,167
Umeona eh. Aibu yako membeKama wafanyabiashara wenyewe anaowatetea ni hawa wakwepa kodi na waizi, ni bora huyu membe akae kimya, au aseme kama interest zake zimeguswa kama mfanyabiashara
Umeona eh. Aibu yako membeKama wafanyabiashara wenyewe anaowatetea ni hawa wakwepa kodi na waizi, ni bora huyu membe akae kimya, au aseme kama interest zake zimeguswa kama mfanyabiashara
Tatizo la wafanyabiashara wa tanzania walizoe mteremko. Sasa wanaona kama wanaonewa. My be kwasababu wengi sio wazawa kwahiyo hawana huruma na nchi. Lakini tulipofikia tunahitaji mtu wa kuchukua maamuzi magumu na sio mtu anayeogopa watu. Binafsi namuombea JPM awena afyatele ili angalau tanzania iwe na uwezo wa kujitegeaLeo mtu akisema rais asiwaendee pupa wafanyabiashara kesho atasema asiwaendee pupa madaktari keshokutwa atasema rais asiwaendee pupa mainginia. Watanzania tunapenda sana kujivalisha umuhimu ambao wakati mwingine hatuna. Tunapenda sana kutishana. Rais anayo mamlaka makubwa sana, hao wafanyabiashara ni tabaka linaloibuka na kupotea kutokana na uchumi mzima wa dunia, kwanini wawe juu ya kiongozi mkuu wa nchi. Awamu ya nne iliwaogopa wafanyabiashara wakajiona wao ni tabaka lisiloguswa, hilo lilikuwa kosa kubwa. Hata mataifa makubwa yanawaheshimu wafanyabiashara ila yanahakikisha wanakuwa na uzalendo kwa kila wanachokifanya. Bill Gates na fedha zake zote akiwa nje ya Marekani anatanguliza upendo kwa mmarekani yoyote atakayekutana naye, utajiri wake sio tiketi ya kunyanyasia binadamu mwingine. Wafanya biashara waheshimiwe, wawekewe mazingira sahihi ya kufanya biashara lakini wakumbushwe kila mara kwamba they are human beings, na kutii sheria na kutoa ushirikiano kwa jamii inayowazunguka ni wajibu wao, sio ombi bali ni amri ya maisha.
We kweli MPIGA ZEZE. kwahiyo unataka wafanyabiashara wapewe uhuru wa ku control nchi. Ikiwa hivo mimi ntaenda ata kutafuta urai nchi nyingine sio nchi inayoendeahwa na wafanya biasharaHuu ndio utamaduni wetu wa siasa za kijima. Hata Mhe JPM asingethubutu kumshauri JK wakati alipokuwa waziri wake (miaka 10) kwenye yale aliyokuwa akiona hayendi sawa. Ushahidi ni misimamo ambayo anaoinesha katika siku zake za mwanzo wa utawala wake. Ndiyo maana wapenda mabadiliko ya kweli, tunalilia Katiba ya Wananchi ambayo itapungunza umungu mtu wa Rais wa JMT. Hawa wanakuwa miungu watu kiasi cha washauri wao, hususan washauri wakuu ambao ni mawaziri, kuogopa kuwaambia ukweli. Wakiwa uchi wanashangiliwa kuwa wamevaa! Si jambo la siha kwa maendeleo ya nchi.
Kuhusu kauli ya Maembe, inahitaji m-CCM mmoja ambaye hana la kupoteza kumwambia Mhe Pombe kuwa ANAKURUPUKA SANA. Hiki ndicho Mhe Maembe anajaribu kufanya. Ukiachilia mbali suala la kodi ambalo utaratibu wake ni wa kijima, Mhe Pombe alikurupuka sana kuwabomolea wananchi makaazi yao. Halina ubishi kwamba kuishi mabondeni ni hatari na kiunyume cha sheria Lakini pia halina ubishi kuwa serikali ya CCM ilihusika kuwawezesha wananchi kuvunja sheria. Sasa katika suala kama ili kila upande unahitaji kuwajibika kwa namna fulani. Serikali ya Mhe Pombe inajiweka kando (inashindwa kuwajibika) na kujiona kuwa kazi yake ni moja tu ya kubomoabomoa! Hii ni mojawapo ya aina ya ukurupukaji. Na washauri wake katika eneo hilo akina Makamba na Lukuvi wanaogopa kumshauri ili wasionekane ni wapinzani na wasifukuzwe uwaziri!!
Yaani kwanamna nyingine tunaweza kusema,kuwa Dr.Magufuli apunguze kukurupuka.
Inaitwa jina la kilugha sijui namanyele sijui sina uhakika lakini mkurugenzi ni benard kamilius membeKampuni zake zinatumia majina gani mkuu?
For sure. Lazima kuna interest kwenye madai yakeUkitaka kumshauri kitu ndugu yako hupandi juu ya mti jioni kutangazia umma, au kwenda nyumba ya jirani kulalamika. Una kaa na kuzungumza naye. Huyu Membe ana ajenda ya ku-undermine juhudi za Serikali ya JPM. Period.
Membe bhana!!! Kukosa cheo imekuwa kero!?? Atulize domo Dr. Afanye kazi yake... Asifikili Dr JPM ni JKAliyekuwa waziri wa Mambo ya nje Mh. Membe ameonya kuwa wafanyabiashara wasiendewe kwa pupa.
Ametanguliza kuwa anaunga mkono mikakati ya ukusanyaji kodi lakini isiwe katika hali ya kukatisha tamaa na kudidimiza uchumi.
Membe ameonya hayo kufuatia malalamiko ya wafanyabiashara kulalamika kuwa baadhi ya mikakati inaelekea kuwadidimiza.
Haya yameandikwa katika magazeti ya leo
Aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje Mh. Membe ameonya kuwa wafanyabiashara wasiendewe kwa pupa.
Ametanguliza kuwa anaunga mkono mikakati ya ukusanyaji kodi lakini isiwe katika hali ya kukatisha tamaa na kudidimiza uchumi.
Membe ameonya hayo kufuatia malalamiko ya wafanyabiashara kulalamika kuwa baadhi ya mikakati inaelekea kuwadidimiza.
Haya yameandikwa katika magazeti ya leo
Kama kipi??Ukanda wote wa kusini kafungua vituo vya kuuza mafuta