Acha ulofa ,team Lowasa walimchagua Amina Salum apite ili lowasa aje kuwa mgombea mwenza.Hapa ndipo pro Magufulu watakapomkumbuka EL,waache kumbeza. Bila team ma-mvi kupambana huko Dodoma,Membe angekuwa magogoni.
Nchi haiongozwi kutoka kichwani, inaongozwa kwa mjibu Wa sheria na katiba.Mimi nafikiri tusimuattack mtu tuattack point zake, Membe ni mwanadiplomasia ametembea katika maeneo mengi yenye migogoro, anajua athari zake na anajua athari gani zitatokea Zanzibar.Ameweka angalizo ili baadae kikitokea chenye kutokea Mwenyezi mungu aepushie mbali aseme kwamba nilishatoa tahadhari hiyo. Hii inatupa picha kwamba asilimia kubwa ya makada ndani ya ccm hawakubaliani na maamuzi ya kurudia uchaguzi kwa kuwa wanajua nini kitatokea na kivipi chama kitaathirika.
mkuu umeandika bonge la point. ila nina wasiwasi kama hawa uv-ccm wataelewa kitu hapo.Kwa sasa washauri wa nje ni muhimu,wale waliopewa vyeo hawana jeuri ya kumkosoa Magufuli.nilimsikia mbunge Msukuma akisema watafata yote atakayoagiza Magufuli