mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,177
Membe anajinadi urais watu wamekaa kimya.. Zitto hajasema chochote kuhusu urais anaandamwa ka sio uonevu huo ni nini?
Kwani keshaoteshwa huyu? muacheni kwanza until then...
Membe amechanganyikiwa,
Sometimes wenzake wapo bungeni yeye yupo clouds radio anarusha vijembe kwa wale anaowaona ni tishio kwenye swala lake la urais,
Hafanyi kazi yake kama waziri na mfano mzuri ni lile sakata la meli ya Iran kupeperusha bendera ya Tz alafu waziri kutoka zenji akasema ni kweli wameruhusu bendera iyo kutumika ila membe akatoa a merely statement eti wanafanya uchunguzi kama jambo hilo ni kweli.
Tunangoja budget yake mlaku mkubwa huyu.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Lowassa ni mmojawapo wa watu wanaofaa kuwa Rais kutokea CCM lakini ana challenge kubwa ya kujisafisha mbele ya wananchi baada ya kuchafuliwa na CDM na jamaa zake wapambanaji wa ufisadi! Anayo kazi kubwa mbele yake kabla kamati huru kama ya kwetu haijaamua kumpitisha na kumuunga mkono kwenye harakati zake za kutawala nchi yetu kupitia CCM!membe hafai,anasema akiwa rais ADUI ZAKE WAKIMBILIE KENYA,hatufai hata kidogo,ccm ni lowasa tu
hawezi pata kwa sababu anatoka chama dhaifunyie mwacheza sana raisi ni dk slaa hicho ni kitu ambacho kiko wazi na mwenye kubisha alete sababu za kubisha kwake hapa,
Aliweka bayana wabaya wake ni watu wa aina gani? Kama ni mafisadi sioni ubaya wa matamshi yake.Juzi wakati akiihojiwa katika kipindi cha 45 Min. Nilishangazwa na kauli zake kwamba akioteshwa kuwa rais 2015 wabaya wake watakimbilia Kenya from 2016. Hii kwangu sikuona ni nzuri kwa mwanasiasa, lazima tukubali kutofautiana, sio kila mtu awe anakusupport wewe tu hata Yesu watu walimpinga sembuse mtu ngulu mbili. Sijafurahi kabisa hii na nahisi ana visasi