wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 269
Tanzania Tanzania
nakupenda kwa moyo woteee
nakupenda kwa moyo woteee
Bernard Membe- Mmmoja wa the best Foreign Minister Tanzania has ever had, leo Tanzania tuna heshima tena kwenye International Community we once had, na ubadhirifu wa mapesa yetu kwenye balozi zetu umepungua sana leo Tanzania tuna nyumba za balozi zetu tunazomiliki than ever before, Foreign Ministry ni moja kati ya wizara chache sana zinazofanya kazi kwa ufanisi sana katika Serikali yetu,
- Personally, I don't know him that much but I like his works especially his policies since he became the Minister of Foreign, does he qualify to be the President? yes!! If your answer is no, my question to you is to compare him with who?
Es!
Hakuna mtu asiye na madhaifu. Kwa wote wanaotajwa tajwa, Membe is the best choice.
Tena hakuna udhaifu mkubwa
kama ule wa kukosa uadilifu na kudhani kwamba kwako wewe nchi ni familia
yako na marafiki zako. Kuna watu hapa wanakalia mabilioni lakini
majimboni kwao watu wanakufa kwa kiu na njaa na hata kupewa msaada wa
mifugo, lakini wanaona ni bora kutumia mamia ya mamilioni kuhujumu watu
wengine kwenye majimbo yao na hata kwenye utendaji wao wa kazi. Narudia
kauli yangu ya awali: WE MAY NOT KNOW WHO WILL BE THE NEXT PRESIDENT,
BUT WE KNOW WHO WILL NOT BE - IT IS EDWARD NGOYAI LOWASSA!
Mjuba kapiga jiwe la BA kwa miaka 13, sijaona kilaza wa aina hii dunia nzima.Shahada ya kwanza (BA) (1977 - 1990)
Sisi na ile 'presidential exploratory team' tutamtazama kabla ya kuamua kama anastahili kupata kura za kundi letu ama la!
Wewe jamaa yangu siasa unayoifanya inachekesha sana. Kila mtu anajua leo ukiitisha kura za maoni Bashe anaweza kugawanya kura zake mara tano ndio upate zako 25:5. Lakini haujishughulishi na hilo kutwa kudandia makundi ndani ya chama. Wote unao wafuata wana uhakika wa kushinda ubunge hata kwa kutuma SMS wewe hali yako tete, jenga kwanza nyumba yako dogo.
Kuna watu wengi sana wenye sifa za kuwa Rais ndani ya CCM na Membe ni mmoja wapo. Nashangaa watu mnaanza kumchafua huyu Mkuu wakati hata hajatamka hadharani kama kweli ana nia ya kugomea Urais. Siku moja nilimuuliza kama ni kweli ana nia hiyo akaniambia bado hajafanya uamuzi huo, anasoma mchezo na wakati ukifika ataamua na ataweka wazi nia yake! Majuzi hapa kasema bado hajaoteshwa - sasa haraka na mashaka ya nini?
Kuhusiana na uwezo, umakini na uchapakazi - hakuna shaka kabisa, ni mtendaji mzuri sana na binafsi nampa moyo ajitokeze kutafuta ridhaa yetu ya kuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania. Sisi na ile 'presidential exploratory team' tutamtazama kabla ya kuamua kama anastahili kupata kura za kundi letu ama la!
Aliweka bayana wabaya wake ni watu wa aina gani? Kama ni mafisadi sioni ubaya wa matamshi yake.
Yako ipo salama ?
Haina shida, naweza kushinda uchaguzi kwa sms tu.
Je anazo qualities zote za kiongozi? Ni zipi? Je ni kweli ana hasira? na itakuwaje watu ambao aliwakosea au walimkosea siku za nyuma? Maana mmoja kati ya sifa kuu za kiongozi ni kuwa mvumilivu ama sivyo itakuwa kila kukicha unanyonga watu.
Je wanaompinga wana mawazo gani kuhusu huyu mheshimiwa? Nazungumzia kuanzia akina Mudhihir mpaka waliopo madarakani juu.
Je tangu aingie Foreign kuna mabadiliko gani makubwa kashafanya?
Nauliza kwa sababu inaonekana kuwa kuna kila dalili anaweza kuwa rais wetu 2015 lakini je watanzania wategemee rais wa namna gani na presidency yake itakuwa ya namna gani?
Hakuna mtu asiye na madhaifu. Kwa wote wanaotajwa tajwa, Membe is the best choice.
nahisi wewe ni ndugu wa membeMembe mtu makini sana na mwenye kutoa maamuzi magumu penye ulazima wa kufanya hivyo. He is bold na mwenye uthubutu na ndiyo aina ya kiongozi Tanzania ya sasa inahitaji.
ahsante kwa ushauri wako adhimu. nitajitahidi kuufanyia kaziWewe jamaa yangu siasa unayoifanya inachekesha sana. Kila mtu anajua leo ukiitisha kura za maoni Bashe anaweza kugawanya kura zake mara tano ndio upate zako 25:5. Lakini haujishughulishi na hilo kutwa kudandia makundi ndani ya chama. Wote unao wafuata wana uhakika wa kushinda ubunge hata kwa kutuma SMS wewe hali yako tete, jenga kwanza nyumba yako dogo.