PapoKwaPapo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 380
- 45
pombe huyu huyu au mwingine?
Hakuna msafi ccm. Wote wako pale kwa interest zao. Muulize nyumba za serikali ziko wapi? yeye ndiye alikuwa master minder
Chama tawala kina mpango wa kuteuwa askari wake machachari John Pombe Maghufuli aukwae urais 2015 ili airejeshe heshima ya chama,kwani anajulikana kwa uchapa kazi,mpo hapo????
Derimto, Nakwambia hakuna mtu msafi ccm maana wote wanalazimika kuwa kama wenzao wezi walivyo.Jaman wana JF. TUKUE BASI KIDEMOKRASIA HAKUNA AMBAYE ANAPENDA MAENDELEO YA KWELI asiyejua cv. Ya mtu kama sokoine mrema pamoja na hao wakina mwakyembe,selelii,ole sendeka,anne kilango, sitta, na pia Magufuli kutokana na wao kuwa na ukali kwenye maslahi ya Taifa hili lakini wanaonekana kama wasaliti wa ccm na ndiyo maana hata Dk. Silaa na chadema wamejipatia umaarufu kutokana kuwa kuwaandama wenye uchu wa nchi hii. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni mimi sina chama navutiwa zaidi na sera na cv. Ya mgombea pia anajali masilahi kwa kiwango gani na kuhusu sauala la nyumba alikuwa anafuata amri za wakubwa zake wakina brother ben. Kama kweli tunataka mabadiliko ya kweli siyo suala la chama gani anakotoka ila ni cv.yake ndiyo inayomuuza na ukali wa magufuli utakuwa mwiba kwa mafisadi na wazembe waliojaa kila mahali serikalini.
Chama tawala kina mpango wa kuteuwa askari wake machachari John Pombe Maghufuli aukwae urais 2015 ili airejeshe heshima ya chama,kwani anajulikana kwa uchapa kazi,mpo hapo????
umenena mjumbeSijaipenda thread hii mi nkijua baada ya 2010 mchakachuo, Dr.SLAA atawashika tena, siwezi fikiria mwingne kwa sasa. Kwa CCM yeyote watakaemtaka ila mwanamke haitawezekana kwa sasa, sori 4 this.
Siwachukii wamama ila kdogo upresidaa unataka kijeba, kutunisha misuli, kumbuka tangu mama Zakia meji aharibu pale benki kuu,watawala waliapa kutorudia kosa. Halafu kuhimili siku 71 za kampeni mwanamke hawezi sana sana kama bado anauona mwezi,sori 4this bt guess wote mu watu wazma.
Nasema na nina uhakika Tz ya leo mikononi mwa mwanamama bado sana!
kwa mtazamo wangu mimi raisi wa 20015 awe Migiro,mwandosya,Magufuli tusiwachague wote lao moja sisi tusonge mbele na chama chetu cha ukombozi
mmmh hayaaaaSijaipenda thread hii mi nkijua baada ya 2010 mchakachuo, Dr.SLAA atawashika tena, siwezi fikiria mwingne kwa sasa. Kwa CCM yeyote watakaemtaka ila mwanamke haitawezekana kwa sasa, sori 4 this.
Siwachukii wamama ila kdogo upresidaa unataka kijeba, kutunisha misuli, kumbuka tangu mama Zakia meji aharibu pale benki kuu,watawala waliapa kutorudia kosa. Halafu kuhimili siku 71 za kampeni mwanamke hawezi sana sana kama bado anauona mwezi,sori 4this bt guess wote mu watu wazma.
Nasema na nina uhakika Tz ya leo mikononi mwa mwanamama bado sana!
Dah kaka umemaliza vizuri sana hapo mwishoni hahahahahapa tusiangalie tunayempenda sisi tuangalie mtu mwenye nafasi ndani ya Kamati kuu ya chama wenye I mean mwenye supporters wengi kichama zaidi. Migiro, Mwandosya, Magufuli hata Tibaijuka safi.Tatizo Magufuli,Migiro,Tibaijuka hawana nguvu ndani ya chama na chama kinawenyewe bwana.
Lowassa ana nguvu sana lakini hawatapitishwa kwa kuwa wataona aibu kwa sababu ya kumtuhumu fisadi ingawa amesafishwa lakini kikwete atokubali kwasababu anaona atalipiziwa.
Sumaye hawatampitisha kwakuwa pamoja na kuwa waziri mkuu miaka 10 hajaonyesha lolote.
January Makamba hawezi baba yake mwenyewe walitaka kumvua ukatibu. Hapa anayeonekana kubaki mwenye nguvu ni mwandosya kwanza hayupo kwenye makundi pia ikumbukwe kuwa alikuwa 3 bora 2005 na safari hii amemaliza bila kashfa mungu akimjalia miaka 5 ijayo akimaliza vizuri atapita.
Lakini tatizo pia CCM ina tabia ya kubadilisha viongozi kutoka bara na visiwani ingawa haipo kwenye katiba ila lengo ni kudumisha muungano kwahiyo msishangae anakapopitishwa DR. Shein na Hapo ndipo CHADEMA itakapochukua nchi kiulaini kwa mgombea yeyote watakaempitisha.
:yield:
..kwangu mimi huu uchaguzi umekwisha na jk ndiyo rais.
..matokeo haya yamenisikitisha sana, kwasababu naamini kabisa slaa au lipumba ni more capable kuliko jk.
..sasa ccm ina tabia ya "kujivua ngozi" ngozi kila inapofikia wakati wa kubadilisha mgombea urais.
..kwa mtizamo wangu january makamba, magufuli, membe na migiro, wanapaswa kuangaliwa kwa umakini sana kuelekea mwaka 2015.
..wapinzani wajiandae jinsi ya kupambana na yeyote kati ya hao itakapofika 2015.
Huyo nae ameshapotea, ametumiwa na JK bila kujua kumbe amejiaribia kotekote, na safari hii anaweza asirudi
waache bana kwanza nakosea mi naona wajiunge na al kaida kabisa