Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,094
Asha rose mingiro hana uwezo hata nusu wa kuiongoza tz, Tanzania inahitaji watu wenye mukrari na force ya nguvu kwenye utendaji. Hata kama Lowasa hata kubalika, tunatakiwa mtu mwenye aina ya utendaji wa kilowasalowasa madarakani. hapo ndo tutafika. hivi wewe kwa akili yako umeona acha rose mingiro anaweza chochote, au kwasababu alipigiwa pande aende UN, hivi kila mtu aliyepata habati ya kwenda UN unafikiri ana uwezo wa kuwa rais?....unafikiri kama wangesema tuchague sisi watz kwa kura mtu wa kwenda UN asha angeenda? si bahati yake tu ilimdondokea.....hebu leta wazo lenye akili tafadhali, ondoa fikra za ajabuajabu hizi.
Lowasa anatakiwa kurudi, amejeruhiwa na akirudi lazima atahakikisha anasafisha jina na kuweka historia kuwa yeye si mtu mbaya, hiyo iko wazi. kama akiwa rais atajitahidi uwezo wake wote kufanya kitu cha maana ili ionekane kuwa yeye ndo alikuwa bora na safi kuliko wote. NA HAKUNA UBISHI KUWA KATIKA SELIKALI YOTE YA TZ, HAKUNA MCHAPAKAZI KAMA LOWASA...namfananisha na Kagame, akiwa kazini hataki kunegotiate ujinga, hataki utani ni kupiga kazi kwenda mbele. huu ndo ukweli wenyewe.
Mkuu, huwa nikiwaambia watu hivyo hawanielewi. Nina uhakika Lowasa akipewa rungu, nchi itabadilika? akiwa PM hajawahi kupewa riport za uongo kana JK ambaye ni Rais - kwa sababu watendaji wanajua akili yake si ya kivivu. Kama kosa alifanya, nina uhakika ameshajifunza na kujirekebisha. Huyu cheka cheka na bongo flava hatatupeleka popote zaidi ya shimoni tu.
Ikiwa atakuwa rais, kufikia 2015 inawezekana hata chai wengi wakashindwa kunywa kutokana na mfumko wa bei - watanzania wengi wanaweza wasimuda kununua sukari. to name the few.