Sio Mafisadi tu,hata mimi simtaki.Uwe wake wa kuiongoza nchi hawezi.Kumbuka wakati wa mchakato wa kumpata waziri mkuu alikuwepo,Usalama wakasema hawezi kuunganisha TZ,chaguo pekee lilibaki kwa Pinda,licha ya kukataa wazee ilibidi wamwombe.Kwa maana hiyo Membe hawezi.Ila 2015 ni Magufuli au Dr Slaa
Sio Mafisadi tu,hata mimi simtaki.Uwe wake wa kuiongoza nchi hawezi.Kumbuka wakati wa mchakato wa kumpata waziri mkuu alikuwepo,Usalama wakasema hawezi kuunganisha TZ,chaguo pekee lilibaki kwa Pinda,licha ya kukataa wazee ilibidi wamwombe.Kwa maana hiyo Membe hawezi.Ila 2015 ni Magufuli au Dr Slaa
Huo umakini wake mbona hauonyeshi sasa? Anangoja nini? Scandal zoooote hizi mbona haonyeshi msimamo wake? Kikwete hivyo hivyo... hakuwa na rekodi yeyote ya utendaji, na sasa matokeo yake tumeyaona. Ukiwa waziri usipoonyesha utendaji wako hata ukiwa rais hutabadilika. Kutawaliwa na Membe ni nafuu aje mbwa. Tutajua angalau anabweka!Waziri membe ni mtu makini sana, msafi hana tamaa na wala kinyongo na mtu. Itakuwa bahati sana tukipata rais kama yeye. Uzoefu wa kimataifa, kielimu na kiutendaji. Anaipenda na maendeleo ndio mwenendo wake.
nchi ya asali na maziwa ni baada ya dr slaa kukamata usukani
Waziri membe ni mtu makini sana, msafi hana tamaa na wala kinyongo na mtu. Itakuwa bahati sana tukipata rais kama yeye. Uzoefu wa kimataifa, kielimu na kiutendaji. Anaipenda na maendeleo ndio mwenendo wake.