Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

Chama tawala kina mpango wa kuteuwa askari wake machachari John Pombe Maghufuli aukwae urais 2015 ili airejeshe heshima ya chama,kwani anajulikana kwa uchapa kazi,mpo hapo????
 
Chama tawala kina mpango wa kuteuwa askari wake machachari John Pombe Maghufuli aukwae urais 2015 ili airejeshe heshima ya chama,kwani anajulikana kwa uchapa kazi,mpo hapo????
Heshima itatoka wapi kwenye system mbovu?
Kama atakuwa amezungukwa na mababu na vibibi hawahawa wa enzi ya uhuru, do you xpect any change?
Kinachotakiwa kwa Tanzania ya leo ni Mageuko ya jumla...chama kipya...Tanzania wamekichoka chama cha kijani!...basi!
 
Chama tawala kina mpango wa kuteuwa askari wake machachari John Pombe Maghufuli aukwae urais 2015 ili airejeshe heshima ya chama,kwani anajulikana kwa uchapa kazi,mpo hapo????

Magufuri is too mechanical and over ambitious. He is a Mrema-type.
 
Chama tawala kina mpango wa kuteuwa askari wake machachari John Pombe Maghufuli aukwae urais 2015 ili airejeshe heshima ya chama,kwani anajulikana kwa uchapa kazi,mpo hapo????

Labda uwaziri wa nyasi na tope...CCM hawana desturi ya kuchagua wachapa kazi kuwa Rais.

Tafuta zezeta kuliko wote CCM, huyo ndie mgombea 2015.
 
kama kweli safi sana




hahahahah Labda mafisadi wote wawe wamekufa na mizimu yao imezikwa mara 100
Mhh aisee nikisikia huyu mtu ameemia upinzani... nitaweka nadhiri sitakaa nipokee wala kutoa rushwa, Fitina kwangu Mwisho...Kila mtu anahaki ya kutoa maoni na kusikilizwa...uwii
hafananii na wana CCM huyu utafikiri atokea China msimamo atikisiki, ni true leader cause anajua kuitomia mamlaka aliyonayo
 
Hakuna msafi ccm. Wote wako pale kwa interest zao. Muulize nyumba za serikali ziko wapi? yeye ndiye alikuwa master minder
 
Magufuli hawezi, yeye ni mtu wa amri-amri tu.urais unataka busara na hekima kama za DR wa ukweli!!!
 
hahahahah Labda mafisadi wote wawe wamekufa na mizimu yao imezikwa mara 100
Mhh aisee nikisikia huyu mtu ameemia upinzani... nitaweka nadhiri sitakaa nipokee wala kutoa rushwa, Fitina kwangu Mwisho...Kila mtu anahaki ya kutoa maoni na kusikilizwa...uwii
hafananii na wana CCM huyu utafikiri atokea China msimamo atikisiki, ni true leader cause anajua kuitomia mamlaka aliyonayo

hahaha "napoleon once said secrets travel fast in Paris.. " but i think in JF travel faster yanasemwa humu toka kwenye vikao vyao vya siri mengi yaja tokea baadaye..
 
Hawana moaral std ya kumchagua mtu kama magufuli! Nilifikiri wamejifunza kumbe bado kabisa! Ukisema ukweli na kutenda kulingana na sheria ilivyo wewe ni adui 1 kwa wana CCM. Hicho ndio alichokifanya Sitta, Mwakyembe, Anne Kilango na wengine wengi! Ona wanachofanyiwa rejects.
Rais asiyembinafsi na mnafiki huwezi kumweka magufuli wazara ya samaki na nyama. Ana records kubwa nchi brabara alifanya vyema wakati wa mkapa, leo hii tunachezewa na makandarasi barabara kama Mandela Road km 10 inachukua miaka 4. Na huyu mkwere aliyeporomoka kutoka ushindi wa 80% mpaka 46% anakenua meno tu!

Nchi hii inaatia uchungu sana! Ukitenda wema unageuka adui????? Jamani!!!
 
Ukumbuke ndani ya CCM mara mbili sasa maraisi wametoka Bara, wazanzibar nao watakuja juu watataka this time atoke Zanzibar
 
Asitoe ahadi ya hii kitu kama mwenziye

apecallesinofront.jpg
 
CCM ni chama cha watu wasio safi, kama Magufuli ni msafi anatakiwa atoke CCM la sivyo atatengwa tu!
 
chama tawala kina mpango wa kuteuwa askari wake machachari john pombe maghufuli aukwae urais 2015 ili airejeshe heshima ya chama,kwani anajulikana kwa uchapa kazi,mpo hapo????

kwanza arejeshe nyumba za serikali alizouza kwa bei poa na zingine kuwagawia vimada wake.
 
Back
Top Bottom