Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,662
Huyo nae ameshapotea, ametumiwa na JK bila kujua kumbe amejiaribia kotekote, na safari hii anaweza asirudi
Kati ya watu ambao Jk yupo radhi ampe uwaziri mkuu, ni Benard Membe.
Huyo nae ameshapotea, ametumiwa na JK bila kujua kumbe amejiaribia kotekote, na safari hii anaweza asirudi
Ndiye kiongozi anayepiga debe kwa nguvu juu ya inji yetu kujiunga OIC. Havi karibuni wakati wa uchaguzi alifanya closed door meeting na viongozi wa madhehebu ya kikristo. Anataka kuelekea wapi........?
Ndiye kiongozi anayepiga debe kwa nguvu juu ya inji yetu kujiunga OIC. Havi karibuni wakati wa uchaguzi alifanya closed door meeting na viongozi wa madhehebu ya kikristo. Anataka kuelekea wapi........?
Ndiye kiongozi anayepiga debe kwa nguvu juu ya inji yetu kujiunga OIC. Havi karibuni wakati wa uchaguzi alifanya closed door meeting na viongozi wa madhehebu ya kikristo. Anataka kuelekea wapi........?
Mkuu, tatizo halitaisha kwa kulikimbia bali kulikabilimmmmh,haya mie sijui kama nitafia tanzania i think nitahama nchi
Huyo nae ameshapotea, ametumiwa na JK bila kujua kumbe amejiaribia kotekote, na safari hii anaweza asirudi
Jamani mwenye info zozote kuhusu huyu membe na mafisadi, kuna jamaa mmoja anasema mafisadi wanamuona ka jamaa anaweza wageuka ka wakimsupport kuingia urais 2015
nawasilisha
Mbwa bwa ?