Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

hapa tusiangalie tunayempenda sisi tuangalie mtu mwenye nafasi ndani ya Kamati kuu ya chama wenye I mean mwenye supporters wengi kichama zaidi. Migiro, Mwandosya, Magufuli hata Tibaijuka safi.Tatizo Magufuli,Migiro,Tibaijuka hawana nguvu ndani ya chama na chama kinawenyewe bwana.

Lowassa ana nguvu sana lakini hawatapitishwa kwa kuwa wataona aibu kwa sababu ya kumtuhumu fisadi ingawa amesafishwa lakini kikwete atokubali kwasababu anaona atalipiziwa.

Sumaye hawatampitisha kwakuwa pamoja na kuwa waziri mkuu miaka 10 hajaonyesha lolote.

January Makamba hawezi baba yake mwenyewe walitaka kumvua ukatibu. Hapa anayeonekana kubaki mwenye nguvu ni mwandosya kwanza hayupo kwenye makundi pia ikumbukwe kuwa alikuwa 3 bora 2005 na safari hii amemaliza bila kashfa mungu akimjalia miaka 5 ijayo akimaliza vizuri atapita.

Lakini tatizo pia CCM ina tabia ya kubadilisha viongozi kutoka bara na visiwani ingawa haipo kwenye katiba ila lengo ni kudumisha muungano kwahiyo msishangae anakapopitishwa DR. Shein na Hapo ndipo CHADEMA itakapochukua nchi kiulaini kwa mgombea yeyote watakaempitisha.


:yield:
 
Acha kudharau akina mama. Wanaume mmefanya nini cha maana.
Mi nchi mikubwa kama Germany na Brazil Achilia mbali Liberia zinaongozwa na wanawake na hawajaonesha kuteteleka. Wanawake wakipewa wanaweza mradi tu wasiwe wale wa mipasho na wanao endekeza umbeya na mashoga. Maana kuna msemo wanasema kwa mwanamke umbeya ni Suna.
 
Dr. ABDALLAH KIGODA!!! 2015 KURA YANGU ANAYO TAYARI!...
 
hata awe mzuri vipi, hakuna chema anaweza kuwafanyia waTZ akiwa ndani ya ccm, mwandosya, mwakyembe, magufuli, anna kilango, sitta nk ni wachapa kazi wazuri lakini ndania ya ccm wanafunikwa tu
 
Kheri Mama Migiro naweza mpa kura yangu

Wapare ni wakabila sana. Mungu apishe mbali, ni ka kabila kadogo lakni they are stupid people. Fisadi Mgonja, kina Msuya, katibu mkuu mmoja mwanamke huko Wizara fulani na wapumbavu wenzake ni hatari sana kwa nchi hii. Ni bahati tu ni wachache! makamba hakuna kitu, bora makufulu na membe as a worst scenario!
 
Pinda tayari alishasema hii ndio mara yake ya mwisho. Wapiga kura wametoa message kali kwa hiyo CCM itajipanga 2015. Sidhani kama watamsimamisha mbabaishaji au mshikaji wa Kikwete. Lakini yote hayo pia yatategemea jinsi Kikwete atakavyoendesha nchi miaka 5 ijayo.

Mizengwe Punda afya mgogoro!
 
kwa mtazamo wangu mimi raisi wa 20015 awe Migiro,mwandosya,Magufuli tusiwachague wote lao moja sisi tusonge mbele na chama chetu cha ukombozi
 
The Quonqueer, unasema wapare wabaguzi siku hizi hata wazaramo nao wabaguzi,na utafiti umefanya wapi,au kuna mpare alitutenda ndio unageneralize
 
Angalieni sana mama Tibaijuka, itategemea atapewa nafasi gani kwenye baraza la mawaziri la mwaka huu. Akipewa nafasi inayompa nafasi ya kufahamika, huyu mama atakuwa na nafasi kuliko mama Migiro.

Prof. Mwandosya pia atagombea na huenda baada ya CCM kuyumba sana chini ya JK wanaweza kuona wampe ambaye hatakuwa controversial sana. Pia magufuli anakuwa kwenye hili kundi na akichukua fomu anaweza kushinda hata kama sasa hana mtandao.

Membe atakuwa JK mwingine, nafikiri CCM wamechoka na watu kama hao.
 
kama CCM wanataka kushinda nafasi ya RAIS 2015 Bila ya kutumia NGUVU YA ZIADA na KAZI YA ZIADA kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu kama wenyewe waklivyosema basi wamsimamaishe DR JOHN POMBE MAGUFULI(PHD)
Nasikia wanogopa kumpitisha kuhofia kuwa ataanza na mafisadi wote kuwasafisha na kuondoa uovu katika nchi hii...
NGUVU YA ZIADA na KAZI YA ZIADA kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni nini?
 
Chama chao CCM kilishaoza, hataweza kufanya lolote... aje CHADEMA awe mgombea mwenza wa Dr. Slaa.
 
kama CCM wanataka kushinda nafasi ya RAIS 2015 Bila ya kutumia NGUVU YA ZIADA na KAZI YA ZIADA kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu kama wenyewe waklivyosema basi wamsimamaishe DR JOHN POMBE MAGUFULI(PHD)
Nasikia wanogopa kumpitisha kuhofia kuwa ataanza na mafisadi wote kuwasafisha na kuondoa uovu katika nchi hii...
NGUVU YA ZIADA na KAZI YA ZIADA kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni nini?


Mkuu huyu aliuza zile nyumba zetu labda aombe msamahaa.
 
Back
Top Bottom