Membe kuwania urais 2015...


sijui, we sema tu unachotaka kusema, kwani GT Mwislamu?
 
Chechetuka Gegedua
Senior Member
Join Date
28th May 2009
Total Posts
60


duh!
Kaazi kweli kweli!
Hajalishi amejiunga lini na ana posts ngapi, unachotakiwa kufanya ni kujibu maswali yake ili mjadala uendelee! Na hayo maswali wameuliza wengi tu. Jibu tafadhali.
 


HUKO NYUMA ULIWAHI KUJA KUMTETEA HUYU MEMBE NIKAKUPA FACT UKAKIMBIA.UNASEMA KUWA MEMBE SIO FISADI JEE MRADI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA WEWE HUJUI KUWA NI MRADI WA MEMBE AKISHIRIKIANA NA MWIKALO?

TUNAJUA BEI HALISI YA MRADI NA KIASI CHA JUU WALICHOONGOZA KINA MEMBE NA MWIKALO.ASUBIRI TU ITAKUWA KAMA KASHFA YA RADA. UTENDAJI GANI ALIONAO MEMBE KAMA SIO POROJO NA KUNUNUA WAANDISHI WA BBC IDHAA YA KISWAHILI KUMAFANYIA KAMPENI ZAKE?

ANAMTUMIA KATIBU WA UMOJA WA VIJANA WA CCM TAIFA KUMFANYIA KAMPENI ZA URAIS.

NAKWAMBIA HANA UBAVU NA HAWEZI KUPATA.HAKIJUI CHAMA WALA SERIKALI. ASIYE FISADI NI PINDA SIO MEMBE.ANAYEKULA PESA ZA MALINZI. HIVI SASA KUNA KAZI ZIMETANGAZWA FOREIGN UKITAKA KUJUA MEMBE NI MUONGO ANA WAPIGIA SIMU MAWAZIRI NA VIONGOZI MBALI MBALI KUAHIDI KUWAPATIA KAZI ILI WAMSAPOTI KWENYE KAMPENI YAKE YA URAIS.

BORA NIONGOZWE NA SUMAYE LAKINI SIO HUYU KIZABI ZABINA MEMBE.ANGEKUWA MWANAMKE KILA SIKU ANASUTWA.


NAAMINI JK KASHAJUA KUWA ANA KOMEDIAN MEMBE. NA HILI LA UONGO MIMI NDIO NASHINDWA KUELEWA KAMA KAROGWA AU NI URITHi?
 
Masahihisho.
Membe anapiga simu kwa mawaziri na viongozi wengine serikalini na kuwaahidi kuwa atawapa ajira watoto au ndugu wa viongozi. Hapo foreign. Kwenye maneno kumi chukua moja tisa ni porojo, majungu,uzushi,ulaghai. Unajua mtu akiwa wa laghai atadanganya kwa muda .namuomba jk amtizame sana huyu membe atagundua tu ni mtu wa ulaghai ana sifa ya ukinyonga. Anapenda sana kununua waandishi na vyombo vya habari.
 
MODS mtafanya la maana kama mtaifunga hii thread. Maana mpaka imefikia page ya nane lakini hamna substance. Kuendelea kwa thread hii itakuwa ni matumizi mabaya ya JF. Kama vipi muihamishie hii thread kwenye PM za hawa waarabu wa Pemba GT vs Chechetuka bin Chetuuu, maana ni wazi hawa ni malenga wenye nia ya kuleta sanaa za majigambo na mipasho. Sasa twaomba wapatiwe ukumbi private huko waoneshane umwamba.

Naomba kuwasilisha hoja binafsi.
 
Kuna hii sifa ya Membe, well sijui kama ni kweli lakini nilipata kuisikia kutoka kwenye mojawapo ya top guys in the govt mwaka jana and I really mean one of the top ones.

MEMBE NI MZEE WA KUJIPENDEKEZA PENDEKEZA KUPITA KIASI
 

WAPO WENGI MFANO WAZIRI MUSTAFA MKULO AMEANDIKWA SANA VIBAYA NA GT,ZITTO KABWE AMBAYE NI MUISLAM ALIPOKWENDA BUSANDA NA KUTOA KAULI YA BAJAJI KWA MZEE MALECELA.GT ALIMSHAMBULIA ZITTO NA KUMTETEA MALACELA MUANGILIKANA.

GT ALIMSHAMBULIA SANA ZITTO ZUBEIR NA KUMTETEA SANA JOHN MALECELA

.GT AMEMSHAMBULIA SANA MWANDISHI MUISLAM SAEED KUBENEA NA AMEMTETEA SANA KILANGO MALECELA.KUNA THREAD ALIANZISHA IKISEMA MKULO AJIUZULU. WAKO WENGI WAISLAM WAMESHAMBULIWA NA GT FUATILIA POSTS ZAKE.swali zaidi?
 

Mkandara kukaa na Membe Canada na wewe kuishi naye vizuri haina maana ndio mzuri kwa watanzania wote. Chenge alipokwenda kwao kapokelewa kwa maandamano ina maana kwa wenzetu ni shujaa.kama wewe umekaa naye kwa miaka yote umeshindwa kujua kuwa jamaa Muongo wa karne, hata nikikuambia utapinga.lakini muda upo na haya ninayoyasema kama MEMBE hata badilika utayasikia na wengi wanajua hivyo.
masikini yeye anajua watu hawamjui tabia yake. hata kama JK ni rafiki yake lakini Urais hautolewi na JK.Mkapa alikuwa na watu wake wawili lakini urais ukaenda kwa JK.

DR.Salmin Amour alikuwa na mtu wake DR.BILAL lakini urais umekwenda kwa Karume.kwa hiyo unataka kusema kuwa Mkapa alipokuwa Foreign hakuwa makini kama Membe? Migiro naye hana ubavu mbele ya RAIS wako wa CANADA-MEMBE?

KAKA MKANDARA narudia tena MEMBE NI MUONGO,LAGHAI,MCHONGANISHI NA MFITINI hana sifa ya uongozi labda awe waziri wa habari. bora unipe Magufuri ingawa naye anachukua rushwa kama kawaida lakini yuko serious sio Membe.
lakini unajua nini kilimleta huko Canada Aziz? muulize mzee Butiku.
 

sio GT aliyesema kuwa Membe ni MUONGO NI MIMI KANDA2 ndiye niliyesema kuwa toka nchi yetu inapata uhuru haijawahi KUPATA WAZIRI MUONGO, NDUMILAKUWILI,MFITINI,MZUSHI,MWENYE POROJO NA LAGHAI KAMA MEMBE.



sio GT ni mimi mkuu wangu.na ukweli ndio huo hata Foreign anajulikana MEMBE KWA uongo baadhi ya wafanyakazi wake humuita MR.Pwagu.


by the way sidhani kama GT ana njaa ya kuajiriwa Foreign, kwa elimu na kila kitu Membe hana uwezo wa kumuajiri GT.
mwambie Membe aache au apunguze hayo niliyoyataja hapo juu.UONGO namba moja kuwa Mheshimiwa KIKWETE ndio chaguo lake,


wakati juzi tu JK akiwa bungeni katuasa tuwaogope watu kama MEMBE wanaotumia kivuli chake.kama ana sifa kwanini atumie mgongo wa Rais?

mara utamsikia kuwa yeye ndiye waziri Kipenzi wa Ban-KIMON kuliko mawaziri wote wa mambo za nje duniani, sasa huo ni kweli kwako?
halafu anaweza kuwa anaongea na Malinzi utasikia nilipokuwa na mheshimiwa Rais nikamwambia kuna huyu mfanyabiashara Malinzi,basi rais akanikubalia akakusifu sana.
akiwa na mkuu wa mkoa fulani atamdanganya nimeongea na JK nikamshauri uletwe hapa halafu baadae tutakupeleka sehemu fulani,ni laghai 24 mara 7.
 
Nadhani sasa tuachane na Membe tumekwishapata sura yake kamili!
 

Astaghfurillahi
 
Mheshimiwa Membe,kama unaingia JF may I just say 'pole sana',huo ndio mzigo wa uongozi. Just relax wala usipate jazba,siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga. Napenda niamini kwamba you know exactly what you are doing na nini malengo yako kuhusu wewe binafsi na familia yako.Be strong and persevere na Mungu atakulinda. Kwa nafasi uliyonayo kisiasa tegemea haya na bila shaka makubwa zaidi yatazuka,just be careful katika nyenendo zako,angalia unaongea na nani,nini na wapi na kikubwa zaidi usimuamini kila mtu,kuwa karibu na watu wachache.As you can see katika hii thread seems kuna watu wamekuzunguka na si ajabu una imani nao lakini katika thread hii ni hao hao wamekutenda, otherwise how come mtu anatoa allegations zinazohusu mazungumzo yako ya simu na watu unaokutana nao ofisini etc, akuchomaye usiku hukuangaza mchana! Nakutakia kila la kheri,afya njema na Baraka tele,Amin.
 
Chechetuka. Mbona unakurupuka kunishambulia? Mimi sijasema Membe anagombea Urais 2010. Mimi nawajibu hao wanaomsemea kuwa 2015 anatafuta urais ndiyo maana akina Lowasa wanampiga madongo. My point is both of them are disqualified kwa sababu watakuwa wazee. Salim Ahmed Salim tried at 63 hakufanikiwa. Malecela naye wakamzuia nje ya geti kali. Hata ndani hakuingia. Nisome vizuri aisee.
 
Kuna hii sifa ya Membe, well sijui kama ni kweli lakini nilipata kuisikia kutoka kwenye mojawapo ya top guys in the govt mwaka jana and I really mean one of the top ones.

MEMBE NI MZEE WA KUJIPENDEKEZA PENDEKEZA KUPITA KIASI

Ukisikia Wivu ndio huu...
 



Bob,

Hizi hoja zako zimelenga Ikulu kabisa...bravo.
 
Hii mbona kama imekaa personal attack kuliko hoja ya kwanini Membe ana matatizo. Sijawahi kumsikia akijisifu kwamba yeye ni chagua la Kikwete au ni rafiki wa Ban ki Moon, unless unahoja ya kuthibitisha hayo. Naona mambo mengine ni kama wanamzulia tu hayana ukweli wowote
 
Sio kusema kuwa uraia wa nchi mbili uzungumzike na kwa sababu yeye anautaka kwa faida yake na watz walio nje ndo mseme kuwa nikiongozi bora.

Katika muda mfupi tu kuna kitu amefanya chenye mahusiano na national security. Sina ushahidi wa kutosha lakini lisemwalo lipo maana nimesikia kwa watu zaidi ya watano. Nataka nisikie tena hapa nijiridhishe.

Tatizo letu wengi ni kuwa personal interest kwanza then taifa, hatuwezi kutetea la taifa yetu yakiwa nyuma. Naweza sema Magufuli ndo waziri bora maana ameshasave for long tumeona mapungufu na mazuri yake.
 

Mkuu wangu siku zote kuwa mwepesi kutambua kwamba ubora wa binadamu huanza na hulka ya mtu na haiwezi danganya watu wote. Na hakika mimi sii mmjoa wa watu wanaopanda mkenge kirahisi..Huyo Chenge kapokelewa kwao kwa maandamano haina maana mtu mwingine yeyote atakaye pokelewa kwa maandamano sii mbora pia wala haiwezi kuwa kinyume kwamba asiyepokelewa kwa maandamano ndiye mbora. Mfano wako wa Chenge hauwezi kutumika kwa Membe na pia sidhani kama huo uongo unaozungumzia unakuhusu muda ulokaa naye wewe kumfahamu vizuri Membe zaidi yangu.

Mimi sikuwa na ukaribu naye (Membe) hivyo, wala wengine wote nilowataja hapo nyuma. Sikuwa karibu na kiongozi yeyote nchi ama Canada, still naweza sema mazuri ya kiongozi. Kisha basi sidhani kama wewe upo karibu na Membe ama unaishi naye Tanzania hivyo unamfahamu vizuri. Huna ukaribu huo isipokuwa ni chuki za kisiasa na PENGINE unatumiwa..Hii ndizo siasa za Bongo kwani huwezi kumwitta mtu mwongo pasipo yeye kukuongopea jambo iwe wewe ama Taifa zima. kibaya zaidi mnashindwa hata kuutaja UONGO wake hadharani maana mnayatunga ya fitna kama tamthiria za kiyahudi. Labda wewe nambie Aziz ambaye ni balozi leo France alipelekwa Canada kufanya nini, maanake wewe wajua zaidi! Na inahusu vipi na yeye kuwa mmoja wa viongozi bora (ubalozi) ambao mimi nimewapitisha.

Wewe nambie uongo wake, kakuongopea ama katuongopea nini? Huyu ni kiongozi ambaye anafuata msimamo wa nchi kimataifa, laukama Membe katunga sheria ama maamuzi kinyume cha sheria tupe somo...maanake hata Tarik Mohammed Aziz alikuwa foreign minister wa Saadam na ali represent nchi yake kama alivyoagizwa na nchi yake. Ukimwita Aziz alikuwa mwongo mnafiki na kadhalika hilo litakuwa juu yako kwani sii makosa yako kutofahamu. Foreign minister wa Mugabe, Mubarak, Bush, Obama na wengineo wote hufanya kazi zao kulingana na msimamo wa mtawala, kuwahukumu wao ni kutofahamu utawala..

Nimesema jamaa ni mtu safi na kiongozi bora mwenye upeo mkubwa ktk maswala mengi ya ushirikiano. Siwezi kumlinganisha na kiongozi mwingine yeyote katika nafasi hiyo kwani ndiye pekee ameweza kuleta mijadala migumu na yenye uatata akitoa msimamo wake kwa maelezo ambayo wewe na wengineo hamyapendi...
Mkuu wangu tuna viongozi wengi magalasha Tanzania, na sidhani kama unatumia kipimo chochote kwani umeshindwa kabisa kusema lolote linalohusiana na accussation zako. Tumia mfano wangu siku zote nikimponda mtu huanza na makosa yake kisha kuanduika kilichotakiw akufanyika..Hapo hufungua hoja ya kujadili lakini hizi habari za mwongo, pasipo kusema alikuahidi nini na hakutimiza....mara sijui ni mtu wa kujipendekeza na kadhalika...mkuu hii picha isokuwa na rangi kabisa kwani hakuna kiongozi wala mtu yeyote asiyejipendekeza, hii ni kwa sababu kila mwenye nafasi fulani hutegemea mtu ama watu wengine kumwezesha...Ndivyo system inavyofanya kazi iwe JK au Obama kiutawala, iwe ktk biashara ama unyumba. kinachohesabika ni jinsi unavyotumia nafasi hizo na kwa maslahi ya nani..
 


Bado hujatuambia hiyo connection ya Membe na Libya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…