Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
yaani tushajua mchezo wao
hapo mstari wa mwisho umeongea point..kuna machalii wangu huku nilipo huwa nawakumbusha sana hayo maneno ya lissu.. "Wakimalizana na sisi....................Nasikia harufu ya mzee wa Msoga kwa mbali akipiga jaramba chini kwa chini.
Waandishi mnaoendelea kumuhoji, muwe macho hii nchi ishabadilika.
Huu ubaguzi haujaishia kwa wapinzani tu, sasa umejikita mpaka kwenye chama chao!
Sasa mtaanza kuyaelewa maneno ya Lissu kwa vitendo.
Mbona hakuchukua fomu awamu ya pili, ya mzee Mkapa?, mbona hakuchukua fomu awamu ya pili ya mzee Kikwete? Iweje sasa ndo aone utaratibu wa CCM ni mbaya ili Hali alishiriki kuujenga? Membe kachanganyikiwa sio burethink differently mkuu!! you sound like them old and wrong thinkers!! ni ngumu kwa nyani kuona kundule! Maembe anataka nayeye kugombea urais na sheria ya chama ilimruhusu kosa lake nini?lets all choose CCM Academia!! Lets us all live in modernity! Lets us stand in the truth! mimi si shabiki wa Maembe ni shabiki wa Mkulu but sikubaliani na CCM walichomfanyia Membe!!
Sote tunajua Mkulu hana mpinzani ila sheria za members kugombea zifuatwe sio kanuni kuwa hakuna kumchallenge Rais alie madarakani, mi sielewi, mtu anaetaka kupimana ubavu na Mkulu katiba ya chama imeruhusu kwanini Maembe kazuiwa? huo ni ujuha ni vizuri chama kiondoe hiyo fursa kabisa ndio sawa!!
The strongest man is the one who stands alone!! Maembe is the strongest man. He deserves to contest against Mkulu if he gets Arab money and ACT back up! He can think to contest for presidency consecutivelly kwa fifteen years ( longterm plan) labda Allah will grant him his wishes!! Asiende chadema inajifia!!
Mzee GSM hausik na huu uchu wa Membe. Kwanza mzee wa GSM anamuogopa Magu kama moto, hawezi kudiriki kumchokonoaNasikia harufu ya mzee wa Msoga kwa mbali akipiga jaramba chini kwa chini.
Waandishi mnaoendelea kumuhoji, muwe macho hii nchi ishabadilika.
Huu ubaguzi haujaishia kwa wapinzani tu, sasa umejikita mpaka kwenye chama chao!
Sasa mtaanza kuyaelewa maneno ya Lissu kwa vitendo.