Nasikia harufu ya mzee wa Msoga kw mbali akipiga jaramba chini kwa chini.
Waandishi mnaoendelea kumuhoji, muwe macho,hii nchi ishabadilika.
Huu ubaguzi haujaishia kwa wapinzani tu,sasa umejikita mpaka kwenye chama chao!
Sasa mtaanza kuyaelewa maneno ya Lissu kwa vitendo.
Akienda huko haina faida kwa upinzani pia.Membe siaende Nccr au cuf
Huu mchezo mchafu wa ccm tushausoma vizuri. In and out.
Akienda huko haina faida kwa upinzani pia.
Nasikia Msoga na Membe wanatua rasmi huko chademaSiyo harufu ni habari kamili
7 Julai 2020
Rondo, Lindi
Tanzania
’CCM ilinionya, Ukimchallenge huyu kutaka Urais utafukuzwa chamani ’ Bernard Membe
Sisi wale wa CCM ya zamani tulionekana kama kwamba hatujafanya lolote jema na hawa wanaojiita CCM Mpya.
Membe aelelezea utofauti wa aliyoiita 'CCM ya zamani' na 'CCM mpya'. Hii hapa ndio sehemu ya mazungumzo hayo.
Hapo Jana Bernard Membe,aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania na kada wa muda mrefu wa chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM), alirudisha kadi yake ya uanachama wa CCM kitendo kilichomaanisha ukomo rasmi wa uanachama wake CCM.
Source : BBC News Swahili
7 Julai 2020
Rondo, Lindi
Tanzania
’CCM ilinionya, Ukimchallenge huyu kutaka Urais utafukuzwa chamani ’ Bernard Membe
Sisi wale wa CCM ya zamani tulionekana kama kwamba hatujafanya lolote jema na hawa wanaojiita CCM Mpya.
Membe aelelezea utofauti wa aliyoiita 'CCM ya zamani' na 'CCM mpya'. Hii hapa ndio sehemu ya mazungumzo hayo.
Hapo Jana Bernard Membe,aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania na kada wa muda mrefu wa chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM), alirudisha kadi yake ya uanachama wa CCM kitendo kilichomaanisha ukomo rasmi wa uanachama wake CCM.
Source : BBC News Swahili
hii ni nchi ya wendawazimu, mimi sielewi shida ya Maembe, hana kosa lolote na kafukuzwa kwenye chama kimakosa na kweli kaonewa!!! na waliomuonea will pay back one day!!Ameshavuruga vyama vingapi?
Yeye Membe ndo anasema! wastaafu wote jpm anashirikiana nao kwa karibu: Soon Membe atapelekwa milembe, sio kwa kuchanganyikiwa hukoSi busara kumsema babako kuwa hakukufanyia chochote kisa hajakusomesha wakati umezaliwa na kukulia ndani ya nyumba yake hadi umefikia umri wa kufukuzia madem.
Kama unamhate vile!Yeye Membe ndo anasema! wastaafu wote jpm anashirikiana nao kwa karibu: Soon Membe atapelekwa milembe, sio kwa kuchanganyikiwa huko
Ni kweli lakini wewe yanakuuma nini Kama na wewe sio ccm msiriLeo Membe,kesho itakuwa zamu yenu.
Hiki ndo kinachoendelea CCM
Kwahio Dola ndio Wanachama wa CCM?? Ndio CCM inayopendwa hii??CCM Tunayoijuwa sisi ilikuwa Kila kitu tunajitolea kujenga ofisi na Mengine kwa nguvu zetu
Ccm mpya ni Chama dola .. hakuna watu wa kujitolea hata bendera wanapandishiwa na askari au wafungwa
Bendera za wenzao wanatuma Polisi washushe
View attachment 1500591
Kwa maendeleo ya madaraja ya photoshoot?Hakuna jipya
Mtapiga makelele Mjuavyo
Magu ndio chaguo letu