Membe, honestly hatukuelewi!

Membe, honestly hatukuelewi!

Kwa ambao hamjui kwanini Membe anatoka povu ni kwakuwa Hotel yake ya Mtwara NAF Beach Hotel imepewa notice ya kupigwa chini... Na pesa zake za wizi zote alienda kuweka hapo. U can now imagine how frustrated he is
 
Wewe mwenyewe ndiyo humuelewi usiwasemee na wengine.

Soma kitabu cha Mwalimu Nyerere kinaitwa Tujisahihishe.
 
Bora ngefuta huo wa Rais na wampe huyo Shein maana ndio anaelengwa
 
Bora ngefuta huo wa Rais na wampe huyo Shein maana ndio anaelengwa
Mgogoro wa uchaguzi Zanzibar umeanza hata kabka JK hajaondoka madarakani.
Membe alimshauri nini, naye alikuwa kiongoxi mwandamizi katika wizara zinazo husiaba na muungano?
 
Ukiangalia Sana ccm inampasuko mkubwa na wasipofanya jitihada ya kuuziba tutasikia Mengi na watu kutochafuana
 
Ulikuwa mgombea wa kiti cha urais, wengine walienda mbali kudai ulikuwa wa mfukoni!
Bahati haikuwa yako, dhoruba za yule kada maarufu, Eddo, zilikupulizia mbali.
Hukuwa peke yako, vumbi zili ziliwapuliza wengi.

Ulipoukosa urais ukawa kama umeingia kauzezeta fulani hivi.
Ni kama hukuamini kilichotokea, Mwenyekiti aliyekubeba alizidiwa kete.

Kaingia mzee wa Push Up, yeye hata ukatibu wa chama wa kijiji hakuwahi kuukwaa.
Sasa leo ndo Rais.
Tena Rais mtumbuaji majipu.

Mengine ya hayo majipu ni yale Membe and co. waliyoyalea na kukomaa.
Kwa kauli yake Membe alisema watu wanapaa angani kuelekea majuu, utafikiri nchi inaungua moto!!
Aliyekuwa kinara wa kupaa angani tunamjua, our very own Mkulu wa Msoga.
Sijui Membe alimshauri vipi bosi wake!

Sasa leo sijui Membe kala maharagwe ya wapi vile, utafikiri kaamka nazo.
Mara Baraza la Mawaziri hakuna kilichofanyika, mara kuzuia kusafiri nje hamna lolote!
Sasa ati uchaguzi Zanzibar ungefutwa kwa nafungu!

Hivi? vikao vya chama kuongelea haya masuala vilikufa?
Au siku hizi ni siasa huria?
Au Membe naye anataka mageuzi nje ya chama?

Maswali ni mengi, honestly Membe hatukuelewi!


Lini mliwahi kuwa waelewa?
 
Kwa ambao hamjui kwanini Membe anatoka povu ni kwakuwa Hotel yake ya Mtwara NAF Beach Hotel imepewa notice ya kupigwa chini... Na pesa zake za wizi zote alienda kuweka hapo. U can now imagine how frustrated he is
Wangapi wanamsikiliza Mwalimu siku hizi?
Lakini aliyotabiri ukweli mtupu!
 
ila membe na lowaxa huwa nkiwatafakar nacheka sana, HAKIKA MUNGU NI MKUU SANA KWA WATU WAKE
 
Ulikuwa mgombea wa kiti cha urais, wengine walienda mbali kudai ulikuwa wa mfukoni!
Bahati haikuwa yako, dhoruba za yule kada maarufu, Eddo, zilikupulizia mbali.
Hukuwa peke yako, vumbi zili ziliwapuliza wengi.

Ulipoukosa urais ukawa kama umeingia kauzezeta fulani hivi.
Ni kama hukuamini kilichotokea, Mwenyekiti aliyekubeba alizidiwa kete.

Kaingia mzee wa Push Up, yeye hata ukatibu wa chama wa kijiji hakuwahi kuukwaa.
Sasa leo ndo Rais.
Tena Rais mtumbuaji majipu.

Mengine ya hayo majipu ni yale Membe and co. waliyoyalea na kukomaa.
Kwa kauli yake Membe alisema watu wanapaa angani kuelekea majuu, utafikiri nchi inaungua moto!!
Aliyekuwa kinara wa kupaa angani tunamjua, our very own Mkulu wa Msoga.
Sijui Membe alimshauri vipi bosi wake!

Sasa leo sijui Membe kala maharagwe ya wapi vile, utafikiri kaamka nazo.
Mara Baraza la Mawaziri hakuna kilichofanyika, mara kuzuia kusafiri nje hamna lolote!
Sasa ati uchaguzi Zanzibar ungefutwa kwa nafungu!

Hivi? vikao vya chama kuongelea haya masuala vilikufa?
Au siku hizi ni siasa huria?
Au Membe naye anataka mageuzi nje ya chama?

Maswali ni mengi, honestly Membe hatukuelewi!
kama umezoea vya kunyonga vya kuchinja hutoviweza.
 
Back
Top Bottom