Wema aliouonyesha Membe kwa wana CDM ni wa kufaa kuigwa na mtu yoyote.
Honngera sana Mh. Membe, mungu atakulipa.
Alisema hivi
Wakati wanajiandaa kula mlinzi wake alikuja kumwambia kuna vijana wa CHADEMA walikuwa wanagonga mlangoni, yeye akamwambia awakaribishe
akasema pia na "walikuwa na njaa"
mwisho wa kunukuu
Sasa naanza kuamini kuna vijana walioenda kufuata M4C kusini ilibidi kulawitiwa kwanza ndio wakapewa posho zao.
Wewe endelea kumdharau lakini viongozi wako wanamuheshimu sana kwa kuwapa chakula usicheze na njaa malazi yote uguwa lakini njaa usiombee mkuu.
Membe bana....
Akili zake kaziacha kachukua za mbayuwayu!