olimpio
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 402
- 834
Baada ya sarakasi nyingi sana za CHADEMA, hatimaye kikao chao cha juzi kimeridhia warudi kwenye meza ya mazungumzo na CCM.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.
CHADEMA wanarudi kwenye meza ya mazungumzo wakiwa wameamua kuachana na akina Mwambukusi, Dkt. Slaa na Mdude CHADEMA kwenye harakati zao za bandari.
CHADEMA wameona mgogoro huo hauna faida kwa chama chao na ulikua unawagawa wanachama wao. Dkt Slaa pia amesha watarifu vijana wake wa Sauti ya watanzania kuwa rasmi sasa Hakuna mawasiliano na uongozi wa chadema mkuu.
Rai yangu, Dkt Slaa safari ya ACT wazalendo inakuhusu na kila lakheri makamanda kwenye maridhiano tena.