Online Brigade
Member
- Jun 26, 2012
- 39
- 10
kuna ukweli mwingi unajificha hapa, kamwe Membe hawezi uweka wazi, hata lema hawezi jibu lolote hapa as mambo mengine inabidi yaendelee kuwa siri ya chama katika level fulani, tusitegemee kuambiwa kila kitu kama kilivyo.