Akiongea na clouds FM Membe anawapaka CDM akianzia na Slaa hatimae G. Lema
Mimi ni mwana CCM ila naona kama kuna maelezo yamepindishwa na Mh. Membe, anapodai eti ilikuwa ni chakula cha kawaida wala haikupangwa lakini uwepo wa vyombo vya habari unaonesha hili lilikuwa ni tukio la kupangwa.
anamaanisha kuwa CDM iwe inatoa posho ya kutosha ili vijana wasi shinde njaaKwa hiyo anataka alipwe hicho chakula chake ama?
Nadhani si busara kumsema mtu kwa chakula ulichomkaribisha mwenyewe yale ni mavi tu,
yanayotupwa chooni.
We kweli hujui utamu wa ubunge, lazima ajipendekeze ili arudishiwe ubunge. Lakini ndio ajiangalie tu, tabia ya mtoto wa kiume kujipendekeza ni mbaya.Na huyo Lema apunguze kujipendekeza kwa viongozi kila siku majumbani kwao, mara Oysterbay kwa JK mara Mtama kwa Membe.
anamaanisha kuwa CDM iwe inatoa posho ya kutosha ili vijana wasi shinde njaa
Hivi kuifagilia Chadema dhambi !!! Mbona uyu anazungumza kama ajielewi! Janaume zima uwakaribishe watu kwako wale au waonje leo uwatangaze eti walikula na kunywa cse walikua na njaa!!
Haoni hata aibu anavyo jitetea kama mtoto kisa kaambiwa anajiunga chadema, kwani angesema hapana na kunyamaza angenyongwa.
Na huyo Lema apunguze kujipendekeza kwa viongozi kila siku majumbani kwao, mara Oysterbay kwa JK mara Mtama kwa Membe.