johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Pamoja na kutuma Salamu za mwaka Mpya na kuwapongeza Chipukizi Watoto wa viongozi nimeona niwaletee hii nukuu ya Shujaa Magufuli kama nilivyoikuta mtandaoni Mfanyakazi Online
" Hivi kuna umuhimu gani wa Kuwa na Chipukizi wa miaka 8-10? Sisi tukiwa na Chipukizi, Chadema wakiwa na Chipukizi, CUF wakiwa na Chipukizi hawa Watoto watasoma Saa ngapi?!" John Magufuli 23 July 2016
Mlale Unono 😀😀