Namimi naungana naye.
Nilazima Uonyeshe kua Haukubaliani na mambo ya kijinga .
Na uwe tayari kusimamia maamuzi yako
Sio unakua kama popo
Aombe msamaha kwani Membe kamkosea nini Magufuli?
Membe kaanza kufanya kazi Ikulu wakati huo Magufuli akiwa shule ya Sekondari sasa leo hii ndo akajishushe na kuomba masamaha kwa kosa ambalo hajafanya kisa madaraka?
Membe hauyumbishwi!
Ni nani anayeugawa huo "U-JPM"?Sawa. Lakini kamwa hatapata U-JPM
Kwa tafsiri fupi isiyo rasmi anamaanisha NIGUSE NINUKE
Nikweli hawa hawaaminiki kabisa.usikubali kumwamini mwanasiasa hata kwa asilia moja, wote ni vigeu geu mkuu, haipiti muda wanaramba matapish yao. then unabaki umeumia.
Wewe acha ubishi wako yule ni membe mwenyeweHizo tweets siyo za Bernard Kamilus Membe. Japo hiyo akaunti ina muda mrefu lakini naamini ni parody account. Kwa tabia na hulka ya Membe siyo mtu wa mitandao ya jamii. Anafahamu madhara yake. Yeye ni mtu wa kutokeza na kumkabili adui face to face.
Kama ingekuwa na tick (verified) kama ilivyo ya Zitto Kabwe Ruyagwa au Donald T Trump tungeichukulia serious. Na Membe kama angetaka kuwasiliana kwa twitter kutokana na hadhi yake angeweka tick naye.
All in all mawazo yaliyopo hapa yanaweza yakashabihiana na fikra za Membe. Mwandishi anajitahidi sana kupita mule mule mwenye fikra zake.
Tuipuuze kwa vile inaitwa Bernard K Membe ila twende nayo kwa kuwa mawazo yake nii kiwakilishi cha wengi tusiopenda mwenendo wa Jiwe.
Mwmbe hata bila ku tweet kashatoa hii statement.Hizo tweets siyo za Bernard Kamilus Membe. Japo hiyo akaunti ina muda mrefu lakini naamini ni parody account. Kwa tabia na hulka ya Membe siyo mtu wa mitandao ya jamii. Anafahamu madhara yake. Yeye ni mtu wa kutokeza na kumkabili adui face to face.
Kama ingekuwa na tick (verified) kama ilivyo ya Zitto Kabwe Ruyagwa au Donald T Trump tungeichukulia serious. Na Membe kama angetaka kuwasiliana kwa twitter kutokana na hadhi yake angeweka tick naye.
All in all mawazo yaliyopo hapa yanaweza yakashabihiana na fikra za Membe. Mwandishi anajitahidi sana kupita mule mule mwenye fikra zake.
Tuipuuze kwa vile inaitwa Bernard K Membe ila twende nayo kwa kuwa mawazo yake nii kiwakilishi cha wengi tusiopenda mwenendo wa Jiwe.
Hiyo akaunti ya Twitter Ni yake ?Kwa nini ukiwa tofauti na magufuli watu wanafurahia na kukushabikia kuliko ukimuunga mkono?something is wrong somewhere
Vigezo vipi umetumia kuhakiki wewe mumiliki wa Twitter ? Bashiru Ally katibu mkuu wa CCM aliikana akaunti ya Twitter kuwa Sio yake baada ya Twitter yenye jina lake kuwa na meseji ya kumponda mengi akasema SI yakeWewe acha ubishi wako yule ni membe mwenyewe
Hiyo akaunti ya Twitter Ni yake ?
Na ile Akaunti ya Twitter ya katibu mkuu wa CCM Bashiru Ali iliyomponda Membe yenye jina la Bashiru Ali aliyoikana Bashiru Ali yenye jina lake Bashiiru Ali Ni Yake au Sio Yake?
Amini unachotaka ila yule siyo MembeWewe acha ubishi wako yule ni membe mwenyewe