johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Mgombea urais wa CCM mwaka 2015 ambaye hakuingia 3 bora mh Benard Membe ameuponda utaratibu wa chama hicho wa kutoa fomu moja ya mgombea urais kwa uchaguzi mkuu 2020.
Chanzo: Tanzania Daima
My take; Membe ameenda kuchukua fomu akanyimwa?!
Maendeleo hayana vyama
Chanzo: Tanzania Daima
My take; Membe ameenda kuchukua fomu akanyimwa?!
Maendeleo hayana vyama