Membe amkosoa Magufuli

Membe amkosoa Magufuli

una kitu kinaitwa "First Amendment Rights" nafikiri umeshaisikia hiyo kitu!!

Nyie team Membe naona mmeanza kuregroup lakini mjue you are on the RADAR watch!! Sasa hiyo unayosema "FIRST AMENDMENT RIGHTS" si inahusu haki za wamerekani kama ilivyoainishwa kwenye katiba yao? Tafadhali usituchanganye na ujuaji wako wa juu juu wa American constitution haituhusu!
 
A useless diplomat who never did any good for Tanzania while in Canada. Zaidi ya hapa kuna nini cha maana ambacho ameki-impact kwenye diplomasia hapa Tanzania? He's talker who never accomplishes anything zaidi ya porojo, unafikiri kwa nini alikatwa? Think again!


Alitumbua jipu la Hans Kitine....
 
Nyie team Membe naona mmeanza kuregroup lakini mjue you are on the RADAR watch!! Sasa hiyo unayosema "FIRST AMENDMENT RIGHTS" si inahusu haki za wamerekani kama ilivyoainishwa kwenye katiba yao? Tafadhali usituchanganye na ujuaji wako wa juu juu wa American constitution haituhusu!
Punguwani mkubwa weee. Eti team Membe. Soma thread uielewe Nyumbu wewe. Radar ya mumeo!!??? Niitolee upuuzi wako punda weee.
 
Punguwani mkubwa weee. Eti team Membe. Soma thread uielewe Nyumbu wewe. Radar ya mumeo!!??? Niitolee upuuzi wako punda weee.

Uzuri wake wasenge kama wewe na wenzio hawanisumbui; mlikosa URAIS iliyobaki muende mkale fedha mlizoiba enzi za bwana wenu!!
 
A useless diplomat who never did any good for Tanzania while in Canada. Zaidi ya hapa kuna nini cha maana ambacho ameki-impact kwenye diplomasia hapa Tanzania? He's talker who never accomplishes anything zaidi ya porojo, unafikiri kwa nini alikatwa? Think again!
Naomba ukisome nilichoandika halafu ndio ujibu,ndio obstacles zenyewe hizi ninazozisema.I
 
Mkuu, nini maana ya heading?
Unategemea kilichoandikwa ndani kitofautiane na content?
Ila mnajuana na vyama vyenu,
Sisi tunataka tuone mambo yanafanyika.
Hata mkibwabwaja na vyama vyenu usiku na mchana ni ruksa, but wananchi tutimiziwe. Vinginevyo hakuna mwenye hati miliki ya hii nchi, 2020 chochote kinaweza tokea!


Kuna vichwa vya habari na vichwa vya habari. Na ni zaidi ya mara moja heading na content haviendani. Ndio maana ya kutaka kujiridhisha na yalioandikwa kabla ya kutoa povu na hii haijalishi mtu yuko upande gani. Sasa kama umeniona nina bwabwaja na ukanipa chama ni sawa tu huo ni mtazamo wako. Yaliyo kuwa bolded nami piya nungefurahi yakitokea.
 
Membe hajielewi kumbe, ni wa kupuuzwa tu nahisi bado anaweweseka baada ya kuukosa urais
 
Ukiangalia michango ya wadau utafikiri nchi hii inaongozwa na Mungu, kila mtu anafanya makosa, errors zipo tu. Ni muhimu kukubali kukosolewa, ili katika hayo unayokosolewa hata kama 99% ni NON SENSE kama mdau mmoja alivyodai, basi hata huyo 1% ikikufaa ukaichukua bado itasaidia tu. Hapa tuseme ukweli kwa kuwa Mh Rais ni binadam kama walivyo wengine, anaweza kukosea haiwezekani akawa perfect 100%. Mifano ipo ya errors ambazo hakuna sababu ya kurudia zilifanyika huko zaman akiwa Waziri. Kila binadam hukosea na ukikosolewa usikasirike, chukua maoni yanayokufaa, yasiyokufaa katika unachokiamini achana nayo.

Hivyo mimi binafsi pamoja na mambo yao ya kisiasa, basi lazima kuna point mbili tatu za Membe zinaweza kuchukuliwa na Washauri wa Mh Rais na kuzifanyia kaz, tofauti na maoni ya watu humu wanaofikiri mtu akichangia wasiyoyapenda basi anakua ni fisadi, jipu et al, jambo ambalo siyo la kweli
 
Weweeeeeeeeeeee wera wera weraaaaaaaaaaa!!! Mtaisoma namba kudadadeki
 
Ameeleza maoni yake .
Sio kumyumbisha magufuli .hajasema.lazima maoninyakevyafanyiwe kazi .suala la kukosoa ni kitu cha kawaida bila kukosolewa huwezi kufanya tadhmini na kujua ukweli .mtu anaweza akadhani yukovsahihi kwa kila kitu kumbe akikosolewa au akipata maoni tofauti anaweza kugundua kitu muhimu
 
Katibu Mkuu Ikulu, Ombeni Sefue, tunaomba umjibu Membe kwa facts and figures. Kukaa kimya itaonyesha ni kweli na hii itashusha heshima ya Rais kuwa anafanya mambo bila kujua matokeo ya hatua anazochukua. Ombeni Sefue uwanja ni wako.

Ameheshimu mawazo yake. Hilo ni jambo muhimu sana; na ninawaomba wakereketwa wote wawe na msimamo huo. No one should think on your behalf......
 
Back
Top Bottom