Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Ngoja NIJIRIDHISHE Kwanza Kama Hayo Maneno Kayatoa YEYE KAMA YEYE au Mwananchi WAMEANDIKA Tu KUCHOCHEA VUGUVUGU LA UHASAMA Ndani Ya CCM. Ila Kama Ni Kweli KAYASEMA Hakyanani NITAFUNGUKA HADI YASIYOJULIKANA ( Kama Noma Na Iwe Noma ). Narudia Tena WASEMENI Wote Lakini Siyo MALAIKA Wetu Na Chaguo La Mungu Rais Dr. MAGUFULI. Na Ndiyo MAANA Tunataka Kwa UDI NA UVUMBA AKABIDHIWE CHAMA UPESI ILI ATURUDISHIE CCM YETU YA HAYATI BABA WA TAIFA Mwalimu Julius Kambarage Burito Nyerere ILI ATUONDELEE AKINA " CCMUKAWA ", " CCM CHUKI, FITINI NA HARIBU " Na " CCM TETEA UFISADI KWA GHARAMA YOYOTE ILE " Ambao WAPO WENGI SANA CHAMANI.
Nami napata shida Kama wewe GENTAMYCINE. Ni kweli haya ni maneno ya Mhe. Membe au wameongoza??? Mzee wetu Membe si ndio alisema watu wanapishana angani utafikiri nchi inawaka moto??? Mod wekeni ule ambatanisheni ule uzi tafadhali. Ndio maana nahisi hii ni propaganda ya Mwananchi ktk ubora wake.
Mzee Tupa Tupa wa Lumumba aliwahi kusema VIGOGO wengi wana akaunti za DOLA nje ya nchi. Kuzuia safari za nje kutafumua mambo mengi sana. Au ndio ile vita ya uenyekiti imeanza?
Ngoja tusubiri tuone.
Queen Esther