Daah Membe bhna Siku ile mh. Rais aliposema safari zote za nje kwa watumishi wa Umma lazima ziwe na kibali kutoka kwa Rais au katibu mkuu kiongozi Membe alisema hiv nanukuu "Afadhali mh Rais ameliona la safari za nje kwani tulikuwa tunapishana angani utafikir nyumbani kuna vita" leo anaanza kuzitetea safari za nje tena mpaka za mstaafu.
Ninachokiona hapa ni kuwa kwa kuwa ameona mstaafu amepewa shavu la uchancellor UDSM na yeye anafikir Pombe ataanzisha ubalozi wa Uturuki ili apewe yeye kwani ameshagundua Rais kwa sasa hiv atateua wabunge.
Ninachokiona hapa ni kuwa kwa kuwa ameona mstaafu amepewa shavu la uchancellor UDSM na yeye anafikir Pombe ataanzisha ubalozi wa Uturuki ili apewe yeye kwani ameshagundua Rais kwa sasa hiv atateua wabunge.