technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Je anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.