Acheni hizo mbona mnamwandama Sana kakosea nn ?hii nchi ni huru kwa nn Kila siku membe kawakosea nn nyinyi nyang'au?Je anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.
Sent using Jamii Forums mobile app