Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Wacha amtikise mhutu kwanza,hujui Hutu linaipeoeka hii nchi pabaya sana.
.....which is pretty much the same question you should have asked Magufuli back in 2015.Je anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.
Huyu ndo mzuri wacha apambane humohumo na fisiem wenzieJe anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.
Alikuwa amejimilikisha akanyang'anywa? Ebu funguka kidogo mkuu ili na sisi wa huku Rwamiyaga tufahamu.Anatafuta bahari beach hotel, Bado hajakubali matokea
Techniques za kutafuta kufuungwa mkono na wapinzani kwa manufaa binafsi
Jr
Membe chama gani?Nyie endeleeni kutoa hoja na vipost vyenu vya kipuuzi puuzi, ila subirini 2020 ndio mtaona mtanange wake.
Raia wamewachoka CCM kiukweli, mlichobakia nacho kinachowaokoa ni Nguvu Ya Dola tu.
Je anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.
Ni mwalimu Nyerere na mzee Karume ! Na pia ndio walioleta uhuru sijui napo walitukosea watz?Aliyetuleta ccm alitukosea Sana watz
Bora wangemwacha mkoloni kuliko hawa wakoloni weusiNi mwalimu Nyerere na mzee Karume ! Na pia ndio walioleta uhuru sijui napo walitukosea watz?
Huijui kazi yawaziri mambo ya njeCamillius sio threat ila amekuwa OVERRATED kana kwamba kipindi cha yeye kuwa serikalini amefanya bora.
Hapo sasa, mfa maji tu, hana lolote...Je anaidai serikali?
Je anaidai CCM? Je anawadai Watanzania?
kwanini alishindwa kufanya jambo lolote la maana akiwa waziri miaka 10 tena akiwa mshauri mkuu wa JK?
Why now? nani yupo nyuma yake? ushauri hana nafasi ndani ya upinzani apambane uko uko CCM
Membe ni kapi.