masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Katika sakata la usajili wa meli za Iran inaelekea Membe amfunga goli la kiufundi kwa kuwacharaza Rosta na mshirika wake Karume goli moja bila.
Membe aliagiza shoti la mbali kwa kutaka uchunguzi wa kimataifa kutoka Marekani na Uingereza na akaupata.
Jamaa wakawekwa kati na ikagundulika kuwa SMZ haikuwa na picha kamili ya gemu lilivyochezwa na akina Rostam and co.
Membe katamba Bungeni majuzi kuwa meli 39 za kutoka Iran zitafutiwa usajili, meli 28 ni za mizigo na 11 za mafuta.Hii yote imefanyika bila kumyooshea kidole mtu lakini watuhumiwa wanafahamika kutokana na maandishi ya magazeti nchini.
Kampuni inayosemekana ina mkono wa Rostam, Filtex ya Dubai, iliyopewa tenda ya kusajili meli , imefutiwa uwakala wake na SMZ.
Si wengi walioona ufundi wa kidiplomasia uliomo katika sakata hili.
Membe aliagiza shoti la mbali kwa kutaka uchunguzi wa kimataifa kutoka Marekani na Uingereza na akaupata.
Jamaa wakawekwa kati na ikagundulika kuwa SMZ haikuwa na picha kamili ya gemu lilivyochezwa na akina Rostam and co.
Membe katamba Bungeni majuzi kuwa meli 39 za kutoka Iran zitafutiwa usajili, meli 28 ni za mizigo na 11 za mafuta.Hii yote imefanyika bila kumyooshea kidole mtu lakini watuhumiwa wanafahamika kutokana na maandishi ya magazeti nchini.
Kampuni inayosemekana ina mkono wa Rostam, Filtex ya Dubai, iliyopewa tenda ya kusajili meli , imefutiwa uwakala wake na SMZ.
Si wengi walioona ufundi wa kidiplomasia uliomo katika sakata hili.