Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

Mfalme_wa_Nyika

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2023
Posts
684
Reaction score
1,541
Wataalam, natanguliza shukrani.

Leo ilikua muda wa kufanya service gari yangu ( SUV) ambalo ni gari la engine ya Petrol, sasa nikafika garage na hapo hapo wanauza oil, mekanika nikamwambia na kwa uzoefu wake anajua magari madogo kama hilo langu ni gari la petrol hivyo nikamwacha afanye yake na akaenda kuchukua oil mimi nikalipia akafanya service kubadili kusafisha kila kitu muhimu kwa service ya gari.

Sasa nilipofika nyumbani lile dumu la oil nilonunua ie kubadilisha kabla sijalitupa kulitoa kwa gari nikasema baada ya kujisikia tu nilisome kidogo... niliposoma

Nikashangaa limeandikwa
Diesel Engine Oil
na kampuni ni
TotalEnergies
Rubia S
SAE 40
API CF/SF

Nikashangaa kwa nini hakuniwekea Petrol Engine Oil!?
Nikampigia simu akasema eti hiyo oil haina shida yeyote wala haiwezi kuharibu engine ya gari yangu ni kawaida wao kuitumia kwa magari ya petrol mimi sio wa kwanza.

Kwa kweli, sijamuelewa maana sijawahi kuweka kitu tofauti na matumizi yake hii ni mara ya kwanza,
Nimetembea na gari hilo kutoka garage mpaka home ni kilometa 6 tu nimepaki sina amani kulitumia mpaka nisikie maoni ya ninyi wadau.

Je ni kweli kuwa hakuna tatizo nitapata kwa gari yangu baada ya kuweka hii diesel engine oil kwa gari la engine ya petrol!?

Nisaidieni
 
1753726181817.jpeg
 
utafanya engine ipasuke... coz ya compression force... compression force ya diesel ni kubwa sana, ndio maana haitaji spark , ila compression ya petrol ni kawaida ... so kufanya hvyo utaua engine
 
utafanya engine ipasuke... coz ya compression force... compression force ya diesel ni kubwa sana, ndio maana haitaji spark , ila compression ya petrol ni kawaida ... so kufanya hvyo utaua engine
Kwa hiyo unanishauri nisiitumie hata kwa kilometa kadhaa ndo nibadili oil!? Au ni kwa kipindi gari madhara hayo yatatokea!?
Maana kaniambia kama sina amani next service date ikifika ndo niweke oil niitakayo ya petrol...nisimwage leo leo
 
Hizo kilomita ni chache kuharibu gari.

Nenda kabadilishe hiyo oil kabla gari haijatembea umbali mrefu.
Sawa ila sijui kama umenielewa, namaanisha oil ya engine, hapa sizungumzii mafuta ya diesel kwenye gari la petrol au vice versa
 
Jaribu Google mkuu
Nimegoogle nakuta mawazo mkanganyiko mzee, nawaza hizi hasara tunatiana siku kwa siku sio poa, nimejikaza kupata hii pesa ya service leo ni hasara tupu kuja kurudia kitu kwa makosa ya mtu mwingine...
Mtandaoni naona kuna watu wanasema wao wanatumiaga diesel engine oil kwenye magari yao ya petrol bila shida yeyote
 
Wataalam, natanguliza shukrani.

Leo ilikua muda wa kufanya service gari yangu ( SUV) ambalo ni gari la engine ya Petrol, sasa nikafika garage na hapo hapo wanauza oil, mekanika nikamwambia na kwa uzoefu wake anajua magari madogo kama hilo langu ni gari la petrol hivyo nikamwacha afanye yake na akaenda kuchukua oil mimi nikalipia akafanya service kubadili kusafisha kila kitu muhimu kwa service ya gari.

Sasa nilipofika nyumbani lile dumu la oil nilonunua ie kubadilisha kabla sijalitupa kulitoa kwa gari nikasema baada ya kujisikia tu nilisome kidogo... niliposoma

Nikashangaa limeandikwa
Diesel Engine Oil
na kampuni ni
TotalEnergies
Rubia S
SAE 40
API CF/SF

Nikashangaa kwa nini hakuniwekea Petrol Engine Oil!?
Nikampigia simu akasema eti hiyo oil haina shida yeyote wala haiwezi kuharibu engine ya gari yangu ni kawaida wao kuitumia kwa magari ya petrol mimi sio wa kwanza.

Kwa kweli, sijamuelewa maana sijawahi kuweka kitu tofauti na matumizi yake hii ni mara ya kwanza,
Nimetembea na gari hilo kutoka garage mpaka home ni kilometa 6 tu nimepaki sina amani kulitumia mpaka nisikie maoni ya ninyi wadau.

Je ni kweli kuwa hakuna tatizo nitapata kwa gari yangu baada ya kuweka hii diesel engine oil kwa gari la engine ya petrol!?

Nisaidieni
Gari inasoma km ngapi kwenye dashboard?
Kama injini imetimika sana hakuna shida ila kama ipo standard lazima gari owe underperfomance.
 
Nimegoogle nakuta mawazo mkanganyiko mzee, nawaza hizi hasara tunatiana siku kwa siku sio poa, nimejikaza kupata hii pesa ya service leo ni hasara tupu kuja kurudia kitu kwa makosa ya mtu mwingine...
Mtandaoni naona kuna watu wanasema wao wanatumiaga diesel engine oil kwenye magari yao ya petrol bila shida yeyote
Usiseme hasara. Sema umelipia gharama ya elimu ya oil sahihi ya gari yako.

Next time hautachezewa na fundi wakati wa service ya gari yako. Wakati wanaweka oil unasoma kwanza kopo na unakuwa specific kabisa oil gani unazotumia.
 
Nakushari mwaga oil haraka ingawa hajasema ni gari gani mzee kama ni hizi cha S.A utalia sana kama vipi badilisha oil kwa pesa ya fundi

USSR
 
Back
Top Bottom