Nafaham tu kwamba wote Hawa walikuwa na hata Leo ni wanunuxi wa silaha za kirusi lakini sijui Nani mteja zaidi. Eg Iraq mwaka 2017 waliagiza t90 tanks! Hata hivyo kwa Iraq ndege advanced zaidi aliouziwa na Soviet/ Russia ilikuwa ni mig 29 bila kusahau interceptors km mig 25, attack aircraft( su 24,25)Hivi unajua baada ya Saddam Hussein, mnunuzi wa pili wa silaha za Soviet/Russia ni Qaddafi kwa nchi za waarabu?
Ngoja niwe mpenz. MsomajNafaham tu kwamba wote Hawa walikuwa na hata Leo ni wanunuxi wa silaha za kirusi lakini sijui Nani mteja zaidi. Eg Iraq mwaka 2017 waliagiza t90 tanks! Hata hivyo kwa Iraq ndege advanced zaidi aliouziwa na Soviet/ Russia ilikuwa ni mig 29 bila kusahau interceptors km mig 25, attack aircraft( su 24,25)
Vile vile kwa Libya Hali ni hiyohiyo.
Niingie kwenye point si Iraq ya sadam, Wala ya leo uliwahi kuwa na Su 30. Pia si Libya ya colonel Gadafi Wala ya leo yenye su 30.
NaombA jibu hapa coz thread yako inadai Libya Walikua na su 30 iliotaka kulipua gereza kwa maagizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ni mbishi sana anaonekana. Sasa sijui anataka ushahidi gani kutoka kwangu? Au anataka nimuwekee mpaka invoices pamoja na procurement contracts za hiyo midege
Acha malumbano na wadau malizia story sheikh kipozeoHuyu jamaa ni mbishi sana unaonekana. Sasa sijui anataka ushahidi gani kutoka kwangu? Au anataka nimuwekee mpaka invoices pamoja na procurement contracts za hiyo midege
Kwahiyo boss unachotaka wewe ni ushahidi gani kutoka kwangu? Procurement contracts au purchasing invoices za hiyo midege ya SukhoiNaombA jibu hapa coz thread yako inadai Libya Walikua na su 30 iliotaka kulipua gereza kwa maagizo.
Wanajeshi hawapendagi mizaha hata kidogo
Tunasubiri mkuuWanajeshi hawapendagi mizaha hata kidogo
Nataka reference, source hata ya Google tu ionyeshayo Libya Walikua au Wana su 30.Kwahiyo boss unachotaka wewe ni ushahidi gani kutoka kwangu? Procurement contracts au purchasing invoices za hiyo midege ya Sukhoi
Tuonyeshe source ya uwepo wa su 30 katika Libya. Br unapokuja na thread hapa hakikisha utafiti umeufanya wa kutosha! Wengine toka tukiwa wadogo tumefunzwa kutokubaliana na kila kitu kisemwacho, labda kwa sababu anayesema ni mjuzi Sana!Kwahiyo boss unachotaka wewe ni ushahidi gani kutoka kwangu? Procurement contracts au purchasing invoices za hiyo midege ya Sukhoi
Kwa hiyo military hardwares pamoja na machines zote za Libya zipo Google? Google ndio armoury ya Jeshi la Libya kwamba kila wakinunua silaha wanatoa taarifa kwenye internet?Nataka reference, source hata ya Google tu ionyeshayo Libya Walikua au Wana su 30.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unacho kufanya we ni kunitoa katika mstari kwa namna ya kifalsafa iitwayo Ad Hominem kwa kuniita mbishi, siku yoyote ukipata info ( evidence) zaidi kuhusu uwepo wa su 30 ndani ya Libya au Iraq niambie au waambie Hawa followers wako unaowamezesha kila kitu na hawajui kuhoji.. majibu yao kila siku ni yes mkuu Kali tunaomba utuandalie nyingine..Huyu jamaa ni mbishi sana anaonekana. Sasa sijui anataka ushahidi gani kutoka kwangu? Au anataka nimuwekee mpaka invoices pamoja na procurement contracts za hiyo midege
Pengine si zote, lakini kwa kiasi kikubwa kila kitu kipo wazi! Angalau ungenambia Tz Wana su 30 ningekuamini kidogo coz wao kidogo taarifa zao ni Siri kuu!Kwa hiyo military hardwares pamoja na machines zote za Libya zipo Google? Google ndio armoury ya Jeshi la Libya kwamba kila wakinunua silaha wanatoa taarifa kwenye internet?
Boss mbona umeanza ku-panic sasa? Huu mchezo hauhitaji hasira bossUnacho kufanya we ni kunitoa katika mstari kwa namna ya kifalsafa iitwayo Ad Hominem kwa kuniita mbishi, siku yoyote ukipata info ( evidence) zaidi kuhusu uwepo wa su 30 ndani ya Libya au Iraq niambie au waambie Hawa followers wako unaowamezesha kila kitu na hawajui kuhoji.. majibu yao kila siku ni yes mkuu Kali tunaomba utuandalie nyingine..
Siku nyingine jipange vyema kujibu maswali ya wanajf
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepanic br? Sijapanic mkuu acha uoga, jibu hojaBoss mbona umeanza ku-panic sasa? Huu mchezo hauhitaji hasira boss
Military Intelligence Chief wa TZ hajawahi kusema kuwa wanayo Su-30, ila M.I chief wa Libya aliwahi kusema kuwa wanayo na anaweza kumuamuru Air force commander aitume kwenda kulipua Gereza la Abu Salim.Pengine si zote, lakini kwa kiasi kikubwa kila kitu kipo wazi! Angalau ungenambia Tz Wana su 30
Haya baba eh sawa Libya Wana su 30 zilizohifadhiwa kabatiniMilitary Intelligence Chief wa TZ hajawahi kusema kuwa wanayo Su-30, ila M.I chief wa Libya aliwahi kusema kuwa wanayo na anaweza kumuamuru Air force commander aitume kwenda kulipua Gereza la Abu Salim.
Kwahiyo hauna imani na Abdullah Al-Sanussi?
Vumilia tu boss wangu. Zimebakia siku 6 tu ili hiyo wiki itimie kaka