Iko siku itawezekana kuachia ikulu ndio inampa kiburiKuna neno maarufu sana lazima atalitamka: Haiwezekani....haiwezekani....haiwezekani....
Kuna neno maarufu sana lazima atalitamka: Haiwezekani....haiwezekani....haiwezekani....
Sawa mkuu. Niko pembeni ya screen hapa nangoja kusikiliza mabokoSherehe zinaanza saa 3 mkuu!
Leo nitakuona Sura yako...nipo hapahapa....
Muda huu ninakunywa supu ya Mlinzi mwenzangu.
Ilinipate kulinda vizuri..wuwuwu..
Mumbwa...
Nipo na Ka swagito pembeni
Atarudia tena yale maneno yake, "asiyefanya kazi na asile na asipokula afe, nasema kweli msemakweli ni mpenzi wa Mungu".
Poor dady huwaza mshahara utaongezwa lini,hua hawazi namna nyingine ya kujikwamua,poleni ma poor dady'sTukutane hapa kwa updates zaidi.
Matarajio ya wafanyakazi.
1. Toka aingie madarakani hajawai kupandisha mishahara wafanyakazi.
2. Alipunguza 1% ya kodi iliyojificha na hajawai kuwa na impact kwa watumishi
3. Katika ukanda wa afrika mashariki na kusini mwa jangwa la sahara ndio mfanyakazi anakatwa kodi kubwa kuliko mtu yoyote.
4. Hajaajiri katika awamu yake kama ilivyokuwa kwa awamu zilizo pita. Na tukumbuke bajeti inayopitishwa bungeni hakuna kipengere cha ajira mpya na bajeti karibia zote zimepunguzw kwa 10-40%. Hivyo hakuna bajeti ya waajiriwa wapya.
6. Ajira za walimu ni changa la macho kwa sababu bajeti ya sasa imeongezwa kwa 5% tuuu, kwa lile la kusema serikali hii inaboresha elimu ni ndoto za mhana.
7. Bajeti kubwa kuliko zote ni usafiri yaani kuknunua ndege hata afya imekatwa kwa 20% sijajua hao wanaotakiwa kupanda ndege na treni sio watanzania au maana wagonjwa watapanda treni kwenda india kutibiwa? Au ndege zinafika india?
Ntakuwa naangalia zangu series moja kali sana habari za hotuba za Jiwe hazieleweki sijui huwa anavuta
Ngoja tumuulize Mtaalam KashashaUnasemaje kuuhusu kuongeza mshahara maana tunamiaka miwili hola?