Mei 15, ilikuwa siku ya familia duniani, lakini sikuona kama Tanzania tumeipa umuhimu

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,222
5,946
Jana Mei 15, 2021 ilikuwa siku ya familia duniani. Familia ndiyo taasisi ya kwanza ambayo sote tumepita na wenye bahati tumeitengeneza au tutaitengeneza. Sasa hivi taasisi ya familia inapitia changamoto kubwa sana kuliko taasisi yoyote.

Nimejaribu kupitia mabadiko yetu jana nasikitika kusema kuwa wote hatukwenda huko. Sasa U great thinker wetu uko wapi?

Kwenye maadhimisho ya kitaifa hata waziri mwenye dhamana na mambo haya hakwenda alimtuma mwakilishi- FAMILIA tunaipuuza kiasi hiki?
 
Waziri wa familia ni nani?

Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee Watoto​

(WAMJW )​

1621150709177.png
 
Kwa hiyo walioenda kwenye siku ya familia, ndiyo magreat thinkers.

Aisee!...
Mkuu kama unafikiria na uwazi na kwa mantiki kabisa unawezaje familia isiwe ndipo pa kuanzia?
 
familia ilikuwa na nguvu wakat neno "sociological father" halijaota mizizi. kwa sasa.. basi tu... mmmmh!
 
Back
Top Bottom