Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,889
R.i.p in advance
R.i.p in advance
Damu nzito kuliko maji. Kafuata mfano wa baba yake.
Samantha wana share baba. Mama ni tofauti, sasa kama Meghan haelewani na baba ataelewana vipi na dada yake huyo ?Okay nimekupata , VP kuhusu dada yake Samantha ? Mbona naye amemstumu Meghan ?
Wadada weusi wa Kimarekani ni moto. Sema Harry ni kipenzi cha bibi ama sivyo muda utaongea.
Hiyo familia ina ubaguzi sana. Kuanzia Diana walimbagua hadi akaamua kuzaa nje ya ndoa kwani mumewe alikuwa na danga lake na Diana hakupata pa kusemea.
Diana akaamua kwenda kula maisha hukoo wakamtilia shaka kuwa aweza zaa na ngozi nyeusi japo ya kiarabu walipohisi aweza kuwa mjamzito aongeze mtoto wa nje wakamwekea mtego wakammalizia mbali.
Yasemekana ndani ya kasri kuna mashankupe ya kizungu sijui ndo mawifi kina mama mkwe kazi yao ni kukukera tu kuwa hujui kuvaa hujui table manners hujui yaani hujui kila kitu.
Hao sasa ndo wamemgeukia huyu mwali. Ni kama mume wake anampenda sana hata kufikia kuhama nchi.
Hivyo ni visaa vya mastaa wa dunia, sie acha tupambane na maisha yetu.
Huyu hapaKuna yule mzee mme wa malkia anajiita The duke of edernburg . Ukiingalia sura yake inajieleza jinsi alivyo moyoni.
Ya kweli haya mzee baba?Wanamwita a.k.a bata dume
Nimependa tu ulivyomalizia maelezo yako hao ndio mastaa nilikerwa mno kuona watu wanajadili ishu ya mtoto sijui wa kajala na harmonizeHiyo familia ina ubaguzi sana. Kuanzia Diana walimbagua hadi akaamua kuzaa nje ya ndoa kwani mumewe alikuwa na danga lake na Diana hakupata pa kusemea.
Diana akaamua kwenda kula maisha hukoo wakamtilia shaka kuwa aweza zaa na ngozi nyeusi japo ya kiarabu walipohisi aweza kuwa mjamzito aongeze mtoto wa nje wakamwekea mtego wakammalizia mbali.
Yasemekana ndani ya kasri kuna mashankupe ya kizungu sijui ndo mawifi kina mama mkwe kazi yao ni kukukera tu kuwa hujui kuvaa hujui table manners hujui yaani hujui kila kitu.
Hao sasa ndo wamemgeukia huyu mwali. Ni kama mume wake anampenda sana hata kufikia kuhama nchi.
Hivyo ni visaa vya mastaa wa dunia, sie acha tupambane na maisha yetu.
Kama sio mweusi basi sio mzungu pia. Alafu unavyo sema angepata platform kubwa vile unamanisha nini?? Unataka kusema hakuna weusi wanao pata platform kubwa kumzidi kim na familia yke?Wewe hebu USINICHEKESHE...Kim Kardashian Ni Mweusi?... Angepata platform kuuubwa vile.marekani?..
Kim Kardashian Ana Asili ya Armenia..
Nikiangalia Sana keeping up.with the Kardashian...hadi namimi.nikawa Nawaza nipate hela..niongeze matitu...sijui Nichonge pua...
Upuuzi mtupu
Kwanini uchangue kufanya Mambo kinyume na taratibu alafu...ukipatwa na changamoto....uje ulalamike
Huyu Harry kwanini Alioa mwanamke kutoka USA...Tena mwenye weusi ndani yake.....hakujua kadhia ziwakutazo watu weusi ulaya?....
Hakujua Royal family inataka Aoe mwanamke wa Aina gani?..
Hivi kukaa kote kwenye Ufamle hajui protokali za ufalme?
Itakufa ndoa yao kabla ya falme.
Kwanini uchangue kufanya Mambo kinyume na taratibu alafu...ukipatwa na changamoto....uje ulalamike
Huyu Harry kwanini Alioa mwanamke kutoka USA...Tena mwenye weusi ndani yake.....hakujua kadhia ziwakutazo watu weusi ulaya?....
Hakujua Royal family inataka Aoe mwanamke wa Aina gani?..
Hivi kukaa kote kwenye Ufamle hajui protokali za ufalme?
Ngozi nyeupe balaa,huyu dada mwanzoni nilijua ni mzungu kwa wazazi wote wawili.Mama yake ni mweusi,baba mzungu,Richa ya kuonekana kama "mzungu"lakini kale ka damu keusi kutoka kwa mama yake,kanaleta balaa.Meghan, mke wa Prince Harry amefichua kuwa familia ya kifalme Uingereza iligoma kumkabidhi mwanaye haki za kuwa Mwanamfalme (Prince) kwa kile alichotaja kama hofu ya ngozi ya kiafrika.
“Nikiwa hata bado sijamzaa mwanangu, tayari walikuwa wameanza kusema kwamba itifaki (protocol) hazitaruhusu aitwe Mwanamfalme.” Alisema Meghan kwenye mahojiano na Oprah
Aidha Meghan pia amesema alinyimwa ulinzi alipotaka kutoka nje ya kasri mwenyewe. Waliongeza pia kwamba mwanawe, Archie, hangepewa ulinzi.
“Hawakuishia hapo lakini pia walidokeza kuwa ingekuwa vigumu kwao kumpa mwanangu ulinzi”
Meghan na mumewe Prince Harry walifanya wamuzi wa kuondoka kwenye kasri ya kifalme nchini Uingereza na kuishi maisha ya kawaida nje ya Uingereza.
View attachment 1720119
Nafikiri kuna mambo ya siri sana ktk hii familia (huenda ushirikina au matambiko ) kwenye familia hii ya kifalme, ambazo viapo vyake ni vikali sana. Nafikiri hivyo sababu mbona wamempa mturuki Boris Johnson uwaziri mkuu?
Wee mrembo unataka kijioza kwa nguvu?Punguza wivu mwisho utakua mchawi,ulitaka uolewe wewe?
Kwahiyo hata kama huyo binti hajatulia ndo asipewe nafasi ya kupendwa?
anyway
Povu la laki mbili hili !
Wapumbavu kama wewe hawakosekani katika jamii!Yaani binadamu sisiii...!! Hatimae mtu wa Ileje anamuelewa kiundani meghan kuliko Prince Harry.
Halafu eti wanasemagwa mawifi, ooh mawifi ndo wanaharibu ndoa, ooh mawifi wana gubu kwa mke wa kaka. Huku kuna Eleje one anamkosoa mke wa kaka ake.
Halafu eti kuna watu wanaona wazungu wana roho mbaya plus huo ubaguzi. Huyu mweusi wa Ileje mwenyewe anamkataa Meghan, unataka whites wafanye nini.
Kila mtu amind business zake. Kila mtu atii kiu ya moyo wake. Kila mtu atoe maoni na kukosoa juu ya mambo yake binafsi na mambo ya jumuiya tuu. Mimi leo nikipenda kumuoa Mwajuma nchokonole, kama nina akili timamu niachwe nimuoe tuu..
Meghan wa watu, wazungu wambague. Weusi wamuone aliyataka, wengine wanuone mtoto wa mjini sana, hapo angekua mshamba mngemuita msukuma( am sorry folks, hata mimi ni msukuma).