Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,962
- 6,084
Hii ipo kwenye uzi mkuu?mimi nawakubali sana zanzibar walipandisha viwango vya mishahara kima cha chini laki tatu...na ni amri private sector zililipa watu wake hiyo pesa bila kupenda...
Hii ipo kwenye uzi mkuu?mimi nawakubali sana zanzibar walipandisha viwango vya mishahara kima cha chini laki tatu...na ni amri private sector zililipa watu wake hiyo pesa bila kupenda...
Yaani binadamu sisiii...!! Hatimae mtu wa Ileje anamuelewa kiundani meghan kuliko Prince Harry.Huyu Meghan ni mtoto wa mjini sana kuliko Harry, hivyo tutegemee Harry kuendeshwa kama gari bovu.
Harry alikosea sana kuchagua mke!
Baba yake Meghan kaitetea royal family sio wabaguziHiyo interview itaonyeshwa usiku huu UK hivyo kesho labda watajibu shutuma nzito dhidi ya hiyo racist institution.
Baba yake Meghan kaitetea royal family sio wabaguzi
Damu nzito kuliko maji. Kafuata mfano wa baba yake.Mke kamzidi umri kinoma, na alikuwa kaolewa akaachika, ata ingekuwa bongo mawifi awasingekubali kaka yake kufungiwa furushi kwenye gunia
Huyo ni taahira hajitambui acha KUKURUPUKA na kuandika ujinga.
Actress wa miaka kadhaa, mtu ambaye sio kwamba ametoka kijijini hajui current affairs na monarchies zinavyoishi ?Kwenye maelezo yake amesema kuwa wakati anaanza mahusiano na mumewe hakuijia familia yake. Kuna muda alikutana na Queen Elizabeth akaambiwa piga goti akashangaa, akamuuliza jamaa yake huyu ni bibi yako na jamaa akamjibu huyo ni malkia. Kuanzia hapo akaanza kufundishwa jinsi ya kupiga goti mbele ya Queen Elizabeth.
Nasikia walinzi na wahudumu wanasema dada ana bad temper kichizi kiasi kwamba anagombana nao kila m'moja kwa wakati wake.Nani aliyekataa?
Mbona hajatajwa?
Hicho kidemu kinapenda sana drama.
Si ajabu kimezusha ili kipate huruma tu.
Kuna watu wanaifuatilia hii familia humu hutaamini....uzi huwa unajongea mdogo mdogo lakini utafika mbaliLatest ¤t issue (udaku wa mbele). ...lakini haitapata wachangiaji wengi humu tofauti na mada za udaku wa ndani
Ongelea Diamond, Ravnav & likes
Wanawake wa kiafrika wanaelements za unalalamishi sana.......Kwani nani alimkataa huyo Meghan?
Wanavyolalamika utadhani wanaishi maisha ya dhiki!
Wakati wanaishi kwenye lijumba la kitajiri huko LA!!
Kavurugwa yule mzee. Kwanza yuko depressed sana, amezeeka akiwa hana hela. Anatangaganga tu.Akili yake ipoje?
Yule hana akiliBaba yake Meghan kaitetea royal family sio wabaguzi
sio wabaguzi ndugu yangu, hivi wewe unaona sawa mhindi/mzungu siku moja aje agombee urais wa nchi yetu?!? ndiyo maana katiba ina mashariti katika hili. Princes diana alipoanzisha uhusiano wa Dody akapata ujauzito wa mwarabu ilikuwa khashfa kwa royal family, halafu ujue ni anglican mwanzo mwisho leo waje wawe na mjukuu anaitwa farouk al habash omar!!! wewe haiwezekani hiyo, hata sisi tuwe na presidaa anaitwa chadrikhan amitabachan, haa hiyo haipo. sio ubaguzi but there is certain values hatuwezi kuziachia kirahisi hivyo potelea mbali uitwe majina mabovu kama ya mbaguzi au kaburu
Dada kuwa mwangalifu na taarifa zako, usikosee majina ya wahusika! Ni Markle!Kashfa nzito imeikumba familia ya Kifalme ya Uingereza ambapo Meghan Markel, mke wa Mwanamfalme wa Uingereza (Prince Harry), amesema amekuwa akibaguliwa kutokana na rangi yake, hatua iliyomfanya kufikia wakati kutamani kujiua.
Akizungumza katika mahojiano na Oprah Winfrey, Bi. Markel amesema akiwa mjamzito kulikuwa na hofu kuhusu kwa kiasi gani mwanaye atakuwa mweusi, na hofu hiyo imechangia mtoto huyo kutopewa hadhi ya mwanamfalme.
Bi. Markel ambaye mama yake ni mweusi na baba yake ni mweupe amesema alikuwa na shauku kabla ya kuingia kwenye familia hiyo mwaka 2018, lakini alipoingia aliishia kuwa na mawazo ya kujidhuru/kujiua, baada ya kuomba msaada lakini hakupata.
Hata hivyo alikataa kueleza nani ndani ya Kasri la Kifalme alikuwa akizungumzia ubaguzi huo.
Wanandoa hao, Meghan na Prince Harry hawatekelezi majukumu yao katika familia ya kifalme na sasa wanaishi California nchini Marekani.
Hiyo interview imevunja record. Noma sanaNaskia CBS wamelipa bill 16.38 kumfanyia interview huyo mwamba , nafkr wazungu wabaki kuwa wazungu na Sisi wengine tuendelee kuwa wachuuzi na wanyonge
R.i.p in advance
Kwann Hana akili ?Yule hana akili