samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,017
- 1,222
Yaan amegusa mtemi wa dunia alietawala hadi marekani,amekosea sana huyoHana maisha marefu uyu
Awe makini sana.
Yaan amegusa mtemi wa dunia alietawala hadi marekani,amekosea sana huyoHana maisha marefu uyu
Ndiyo, Mkuu.
Princess
Meghan, mke wa Prince Harry amefichua kuwa familia ya kifalme Uingereza iligoma kumkabidhi mwanaye haki za kuwa Mwanamfalme (Prince) kwa kile alichotaja kama hofu ya ngozi ya Kiafrika.
“Nikiwa hata bado sijamzaa mwanangu, tayari walikuwa wameanza kusema kwamba itifaki (protocol) hazitaruhusu aitwe Mwanamfalme.” Alisema Meghan kwenye mahojiano na Oprah.
Aidha Meghan pia amesema alinyimwa ulinzi alipotaka kutoka nje ya kasri mwenyewe. Waliongeza pia kwamba mwanawe, Archie, hangepewa ulinzi.
“Hawakuishia hapo lakini pia walidokeza kuwa ingekuwa vigumu kwao kumpa mwanangu ulinzi”
Meghan na mumewe Prince Harry walifanya wamuzi wa kuondoka kwenye kasri ya kifalme nchini Uingereza na kuishi maisha ya kawaida nje ya Uingereza.
acha basi huyu huyu Nyani ngabu unamanishaHehehehe eti hicho kidemu..
Juli ili nyumba ya mamako katoe ile paa weka hata msouth.. nyumba kuu kuu ipo siku mamako itamvujia
Hata walimuua na kashawazalia hao watt itabadirisha nini?Watamuua-hatakaa amini sasa.
Muonee huruma julius si unajua ni mbeba boksi huko ulayaHehehehe eti hicho kidemu..
Juli ili nyumba ya mamako katoe ile paa weka hata msouth.. nyumba kuu kuu ipo siku mamako itamvujia
Sasa Ulaya miaka yote anafanya nini na mamake anakaa nyumba kuu kuu unamvujia na masofa aliyoacha baba mwaka 2000 mpaka leo ni hayohayoMuonee huruma julius si unajua ni mbeba boksi huko ulaya
Muache akae miaka aitakayo yeye huko maana anachojivunia ni kujua kingereza tu...Sasa Ulaya miaka yote anafanya nini na mamake anakaa nyumba kuu kuu unamvujia na masofa aliyoacha baba mwaka 2000 mpaka leo ni hayohayo