Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,889
Unadhani mtu mzima anatakiwa apangiwe nani wa kumpenda? Kama kulikuwa na protokali za kifalme kwanini alipoenda kumtambulisha hawakumzuia kwamba anakiuka taratibu za kifalme?
Huyu mama yake alikiuka taratibu zipi hadi wakaanza kumdhalilisha na kumnyanyasa?
Nimeitazama hii video ya Princess Diana, ni dhahiri alikua kwenye lindi la mawazo mengi yaliyosababishwa na unyanyasaji wa huko palace. Kitu hicho hicho anakipitia Meghan. Kuna kitu hakiko sawa huko kwa royal family