Kwahiyo una hasira na wasafi?Kuna watangazaji kama wamehama na kipindi chao wamehamia Wachafu Fm wote ,juzi wakati natafuta tafuta masafa ya redio nikasikia sauti ya mtangazaji mmoja wa kike na wale wenzake nikajua nipo ile redio nacheki frequence nakuta 88.9 Wachafu Fm ,nikamkazia macho wife nkajua kabadilisha redio bado kidogo nimkate Kofi la uso,maana huwa anachezaga hako ka mchezo ,akikuuliza swali ukijifanya upo busy na kusikiliza radio anabadili frequency.