Mechi ya Dar Young Africans vs Mamelodi Sundowns yapewa heshima ya siku ya Mudathir aka Muda Day

Zouzoutz

JF-Expert Member
Feb 26, 2024
698
877
Yanga hatunaga dogo

Tarehe 30th March 2024 ni siku historia ya soka bongo inaenda kuandikwa upya

Mamelodi Sundowns wajipange,

Simu zitapigwa siku hiyo,wajiandae kupokea

Yanga huwa hatubeep,siye tunatwanga tu

Twende kazi
GJhZvxYWUAAaG6w.jpeg
 
Back
Top Bottom