Mecca yaumbuka: Siri kubwa yafichuliwa!

Mecca yaumbuka: Siri kubwa yafichuliwa!

Status
Not open for further replies.
Hija ni biashara kama biashara nyingine, sema Mohamad aliiboresha na kuifanya Makkah iwe Kituo Kikuu cha Utalii wa dini ya Kiislam. Mohamad japo haktjua kusoma na kuandika lakini alikuwa ni mjasiliamali mzuri maana siyo kazi ndogo kuwaaminisha mamilion ya watu kwamba kuligusa na kulisujia Jiwe jeusi unapata dhawabu. Pia biashara ya kununua mawe ya kumpiga Shetani, huwa nashangaa huyu shetani anapigwa miaka yote bado yuko pald pale? Dah! kweli Imani ni upofu.

Hii inasemekan iliandikwa kabla ya ujio wa Muhaamd slla Lllahu alayhi wasalaam, unasemaje?:

Makkah and Hajj in the Bible

Psalm 84 1-6
How lovely is your dwelling place, O Lord Almighty!
My soul yearns, even faints, for the courts of the Lord;
my heart and my flesh cry out for the living God.
Even the sparrow has found a home, and the swallow a nest for herself, where she may have her young- a place near your altar,
O Lord Almighty, my King and my God.
Blessed are those who dwell in your house;
they are ever praising you. Selah
Blessed are those whose strength is in you,
who have set their hearts on "pilgrimage."
As they pass through the Valley of Baca,
they make it a place of springs;
the autumn rains also cover it with pools.

Soma zaidi: Seeking The Truth: Makkah And Hajj (Pilgrimage) In Bible
 
.........Kanisa limetakatisha fedha haramu kupitia Banki yake ya Kanisa wakishirikiana na kundi la wezi wa Kikiristu na Maaskofu wao ! 2013
Mashekh wenu mbona wanauza SEMBE hapa nchini hilo nyinyi hamlijui au kwakuwa wanakuwa matajiri na kuwasaidia kwa fedha haramu ndio mnapiga kimya ? Mkombozi wameshatoa tamko mara kadhaa na wakachapisha taarifa kwenye gazeti la kiongozi, kuwa pesa ilikuwa imelipiwa kodi kabla hawajaipokea.. Unatunga stori.
KAma fedha ilikuwa HAramu:
 
Ukiona mkristo ana kwenda Israel basi ujue anakwenda huko kama mtalii kwasababu Mungu wetu yupo kila eneo la dunia hii yeye ndiye aliyeiumba hivyo si rahisi kuteua eneo fulani eti ni takatifu kuliko eneo lingine.Mungu wetu anasikia kila lugha ya makabila yote hafungwi na lugha moja kwasababu huo nao ni ubaguzi wa wazi.




Ni bora kufa mwili kuliko kufa kiroho sasa wewe umechagua vyote viwili kwa wakati mmoja.

Kuliita israeli taifa la mungu na teule sio ubaguzi ivi mbona mnaakili fupi nyinyi watu
 
Utumwa upo Dunia Nzima ! haswa Kutoka Eastern Europe kwenda Western Europe, wenyewe wamebadilisha jina wanaita 'Human Trafficking !
Tanzania pia baadhi ya Wananchi wake wanashiriki kwa kuvusha watu kwenye makontena kuwapeleka utumwani.Hili hulioni, umekalia uongo na uzushi ! 2013
Huo utumwa mwingine siwezi kuukataa hata mimi nauita ni utumwa..hata kama unapewa majina tofauti.

Kuhusu Tanzania; Pale karioakoo kuna vijana wakiume wanalalwa na waarabu ili wapewe baraza ya kupiga usingizi mpaka asubuni. vijana hawa wamtokea vijijini kwa sababu mbalimbali.
Wasomali ndio wanaoongoza kwa kuja na makontena nchini:spy:. Unadhani ni nani wanaotekeleza hiyo biashara?
Je tunaweza ku-justify Utumwa wa mtu mweusi unaofanya na ufalme wa Saudi na Qatar kwasababu hata sisi tuna utumwa unaoendelea. Hizi imani za jino kwa jino shida sana...
 
Hii inasemekan iliandikwa kabla ya ujio wa Muhaamd slla Lllahu alayhi wasalaam, unasemaje?:

Makkah and Hajj in the Bible

Psalm 84 1-6
How lovely is your dwelling place, O Lord Almighty!
My soul yearns, even faints, for the courts of the Lord;
my heart and my flesh cry out for the living God.
Even the sparrow has found a home, and the swallow a nest for herself, where she may have her young— a place near your altar,
O Lord Almighty, my King and my God.
Blessed are those who dwell in your house;
they are ever praising you. Selah
Blessed are those whose strength is in you,
who have set their hearts on "pilgrimage."
As they pass through the Valley of Baca,
they make it a place of springs;
the autumn rains also cover it with pools.

Soma zaidi: Seeking The Truth: Makkah And Hajj (Pilgrimage) In Bible

Hv Baca ndio Mecca?na kama Baca ndio Macca,ni kweli Macca kuna features ulizozitaja?ni kweli macca kuna spring,na mvua za kutosha na mabwawa na vegetation kama kuran inavyosema au kuran ilikuwa inamaanisha sehemu nyngne,ninavyojua mie Macca hakuna geographical features zilizotajwa,hzo features zote hazipo Saudia zaidi uwende kilometa 1000 zaidi ndio hzo features znapatikana.
 
Hivi kati ya waislam na wakristo ni wakina nani ambao wanabuluzwa katika ibada zao?.Si tunaona makanisani mnavyo wanyenyekea wachungaji Mpaka mnawaita baba mchungaji?. kwa taarifa yenu najivunia kuwa muislam kwa sababu dini yangu ndio bora mbele ya mwenyezi mungu,quran ndo kitabu pekee dunia ambacho hakija fanyiwa editing na mtume wangu ndo kipenzi cha mwenyezi mungu.mtake ni hivyo msitake ni hivyo.
Mods msiiutoe huu uzi tutapambana kwa hoja mpaka mwisho.
Kwani nyie mna baba?nyie si ndio Ismail descendants?mtume alipata malezi ya baba na mama?Je unajua athari za mtu kutokua na baba?Je ni kitu cha ufahari kutokua na baba?
 
Unaongela ustadh? mimi naongelea Makau Makuu ya Vatikano na si bahati mbaya umesoma lakini? endelea part 3:

During the previous few days, I had heard a lot about this man. I had heard that he is a gossip, a social operator whose calendar is a blur of drinks and dinners with cardinals and archbishops, principessas and personal trainers. Supposedly, he loves to dish male colleagues with campy female nicknames. But I would never have the experience firsthand. The priest was embarrassed: to have been chanced upon at this place; to have had his small evasions revealed. The encounter was awkward. No, he did not wish to discuss the subject I was interested in. No, he did not think the subject worthwhile. These things he made clear. We left the sauna and, after further conversation, civil but stilted, went our separate ways...

The Secret Lives of the Vatican’s Gay Cardinals, Monks, and Other Clergy Members | Vanity Fair
Wewe Faiza unazungumzia makao makuu ya Vatican?mbona nyie mkienda akhera wanaume wanapewa mabikra 72 na wanaume wawili.
Swali:kama allah anakupa mabikra 72 na wanaume 2 huko akhera,je hapa duniani mmegawiwa wanaume wangapi?uislam siyo wa kunyosha kidole kwa hili hata mara moja kwani wao ndio waasisi wa hili na ushahidi ninao
 
Acheni matusi, jibuni hoja. Saudi Arabia haiingizi mapato makubwa? Hakuna maskini wanaoenda kuhiji huko, kupeleka kidogo walichonacho kwa matajiri? Nyama inayoletwa huku sio reject? Hoja kwa hoja

HAKUNA MUISLAMU MASIKINI ALIYELAZIMISHWA KWENDA KUHIJI MAKKA,,, hija ni kwa mwenye uwezo, dhaka ni kwa mwenye uwezo... labda ni kuweke sawa na pale watu wanakwenda kuhiji haujalazimishwa kwenda kwa ndege ukiweza hata kwa miguu nenda,, ukiweza kubeba msosi wako sawa tu.... ILE NI IMANI MKUU KAMA WEWE HUNA IMANI HIYO BASI,, MBONA MMEAMBIWA ISRAEL NI TAIFA TEULE NA MNAAMINI??? HIYO NI IMANI YENU..
 
Mashekh wenu mbona wanauza SEMBE hapa nchini hilo nyinyi hamlijui au kwakuwa wanakuwa matajiri na kuwasaidia kwa fedha haramu ndio mnapiga kimya ? Mkombozi wameshatoa tamko mara kadhaa na wakachapisha taarifa kwenye gazeti la kiongozi, kuwa pesa ilikuwa imelipiwa kodi kabla hawajaipokea.. Unatunga stori.
KAma fedha ilikuwa HAramu:

Mmmmm kaka mapadre na maaskofu wa makanisa ndio wauza unga wakubwa hapa Tanzania. Sisi tuna ushahidi wa mapadre na maaskofu waliouana na kupigwa risasi kwa ngada. Wewe unasema mashekhe haya tupe mifano ya mashekhe hao labda akina Tevez ha ha ha ha
 
Mmmmm kaka mapadre na maaskofu wa makanisa ndio wauza unga wakubwa hapa Tanzania. Sisi tuna ushahidi wa mapadre na maaskofu waliouana na kupigwa risasi kwa ngada. Wewe unasema mashekhe haya tupe mifano ya mashekhe hao labda akina Tevez ha ha ha ha

Mkuu, Wewe una mifano ya tetesi na zinazovuma mitaani kutokana na ukwasi wa baadhi ya viongozi wa dini, tetesi kama hizo hata mimi ninazo:

Kiufupi mimi nimekaa nao na michongo yao naijua pasi na shaka.. tena wanashirikiana na usalama..hapo hapo Dar, achilia michongo ya Nairobi , Arusha n.k. tena mmoja ni mkubwa na umri alionao na anavyotambulika nchini ni aibu kumtaja..Nakuhakikishia nikimtaja hapa.. Zitafika tu. Tena siongei kufurahisha mada.. Ndio maana wanaoshukiwa na wanaokamatwa utakuta wengi ni muslims. ila kabla wanadhaniwa ni Freemason.
Tuyaache haya. We Fahamu tu:

Hapa sijajadili Koran bali nimejadili WATU wanaoonekana ni waislamu safi mbele za jamii lakini sivyo.vilevile hujaniambia kama ukiwagundua kwa majina na nyadhifa zao utaacha imani yako au la!
Au utaanzisha migogoro kwenye misikiti ili waondolewe..?!!

Dini inafuatwa na watu maskini zaidi ukilinganisha na matajiri. Wanaokatwa mikono na kupigwa mawe kwa sharia na sheria ni watu maskini.

Twende ng'ambo Osama na crew yake walikuwa anauza Unga ili kuendeleza ugaidi wake akishirikiana na Alqaeda, taliban pande za afghanistan na pakistan..NA wanajiita mujahidina- wafia Allah n.k..wakati kule ndio zao lao kuu. Sitegemei kama utakataa hapa pia. Je kupigana jihadi kwa madawa ya kulevya ni sawa. Jibu unalo...


ndio maana wanaoona huu Uzi unataja Mecca wanaona ndio uislamu unazungumzwa. wanaanza povu mapema.. Lakini kama wakiamua wataona kuna kitu cha kujadili.
 
Faiza hali ya ushoga ipo siyo kwa Wakristo tuh bali hata kwa Waislam wapo na ushahidi ninao. Juzi hapa kuna Ustaadhi amemwingilia kinyume cha maumbile mtoto mdogo aliyekua akimfundisha mandrasa kule mkoani Kilimanjaro ushenzi huu pia upo kwenye dini zote bila kujali wakristo au waislam
Mkuu uniwie radhi!; ni si kweli kuwatambua watu wanaofanya uchafu huo kwamba ni Wakristo! Muombe Msamaha Bwana Yesu. Sababu Bwana Yesu hakuwahi kufundisha uchafu huo. Hata yeye Yesu aliwaita magugu! Aliye fundisha uchafu huo ni muhammad! ref; suratul baqara:223 na kawapa wepesi wakiingiliana mvutu, wakimuingilia maiti, mnyama, taahira...Waoge; ref; Tafsiri babu maa ja-a uk.13, hata huku kwetu uswazi unaitwa mchezo wa kisilamu! Usisikilize sauti za hao waichilamu djrisha dogo kina ff ni makafir tu wanao u-promote mchezo huo! Hebu mkuu tafakari;,allah anawaambia kawapa kigezo chema! (lagad kanna lakum fee rasoli allah...Q.33:21) mudi alikalia mjengo taif na huyo wameamrishwa wamgeze, jiulize kunani baadhi ya mashehe kupaka wanja, kutembea na manukato..? Ni vyema hao kuwaita ni wafuasi wa muhammad!
 
haswa yaani hawa wapinga Kristo balaa

MAOMBI MAKALI YA KUMTESA SHETANI.
WAPIGE KWA MOTO WA JINA LA YESU KRISTO MASHETANI WOTE WANAOHARIBU MAWAZO,
Omba maombi haya. Kwa mamlaka ya Jina la YESU KRISTO mwana wa MUNGU aliye hai ninawashia moto mashetani wote mnaoniletea mawazo mabaya kwenye akili yangu, mnaopindisha mawazo yangu ambayo MUNGU ameniwekea kwa jina la YESU KRISTO . Ninawasha moto kwa mashetani yote yanayonijia kupindisha njia zangu kwa damu ya mwana kondoo, kuanzia leo mimi sio maskini kwa jina la YESU KRISTO. Imeandikwa; “mwana wa MUNGU alidhihiriswa ili azivunjee kazi za ibilisi kuzimu,” Ninazivunjavunja kazi zote za kuzimu kwa jina la YESU KRISTO, mnaopindisha mawazo ya maendeleo yangu ninawafyeka kwa upanga wa KRISTO. Katika jina la YESU enyi jeshi la mashetani mliotumwa kuja kuniletea matatizo kwenye maisha yangu ninawatetekeza kwa moto wa MUNGU aliye hai. Imeandikwa, “neno la MUNGU ni moto ulao.” Ninawateketeza mashetani wote mliotumwa na waganga wa kienyeji, wachawi mmetokea kuzimu ninawateketeza kwa moto wa Mungu kwa jina la YESU KRISTO. Asante BWANA YESU kwa kunipa ushindi mkuu. Ni katika jina la MUNGU BABA, MUNGU MWANA na MUNGU ROHO MTAKATIFU nimeomba. Amen.


MWITE SHUJAA WA MSALABA YESU KRISTO KWA MAOMBI HAYA NA UTASHINDA.
Tunawafuata adui zetu palepale walipo, tunawatokea kwenye ulimwengu wa Roho na kuwakanyaga na kuwanyanganya mali zetu na vitu vyetu vyote kwa nguvu ya msalaba wa YESU KRISTO . Kwa jina la YESU nimepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za yule adui kwa jina la YESU. Kwa nguvu ya msalaba ninawafuata wachawi, waganga wa kienyeji na adui zangu wote katika ulimwengu wa roho waliokaa kikao kinyume na mimi, ninawaponda vichwa kwa jina la YESU KRISTO. Imeandikwa wakamshinda kwa damu ya mwanakondoo, ninawashinda kwa damu ya YESU KRISTO. Ninazikanyaga mamlaka zote za giza kwa damu ya mwanakondoo. Kwa nguvu ya msalaba, kwa damu ya mwanakondoo ninawashambulia wote mnaotumia baraka yangu, ninauponda uzao wa joka katika jina la YESU KRISTO. Ninawashambulia mashetani katikati ya uzao wa wanadamu kwa jina la ESU. Kwa damu ya mwanakondoo, ninavifuatilia vipawa vyangu vilivyofichwa katika mashimo kwa jina la YESU. Ninaitumia nguvu ya msalaba kwa jina la YESU KRISTO, waliofichwa kwenye mashimo, kwenye mapori, baharini, kwenye mwezi, kwenye, kwenye anga ninawarudisha kwa damu ya YESU KRISTO. Kwa jina la YESU KRISTO ninaamuru warudishwe, natumia nguvu ya msalaba kwa damu ya YESU KRISTO, biashara zilizofungwa, kazi zilizofungwa ninazifungua kwa jina la YESU KRISTO. Nakwenda msalabani, msalaba wa furaha, msalaba wa ukombozi, msalaba wa ushindi, msalaba wa nguvu, msalaba wa maarifa nakata rufaa hapo kwa jina la YESU KRISTO. Asante BWANA YESU kwa ajili ya kunifia msalabani, asante kwa ajili ya nguvu iliyomo ndani ya msalaba. Asante kwa ukombozi, uponyaji na msamaha wako. Ni katika jina la YESU KRISTO nimeomba . Amen.


JIFUNIKE KWA DAMU YA YESU SIKU ZOTE KWA MAOMBI HAYA.
BWANA MUNGU Ninakushukuru Kwa Kunilinda, Asante Kwa Damu Ya Mwanao YESU KRISTO Inenayo Mema Siku Zote. Najifunika Kwa Damu Ya YESU KRISTO, Ninawafunika Ndugu Zangu Wote Kwa Damu Ya YESU KRISTO, Nafunika Familia Yangu, Ndugu Zangu, Nyumba Yangu, Biashara Yangu, Ofisi Yangu, Chakula Changu, Fedha Zangu, Kiwanja Changu, Rafiki Zangu, Majirani Zangu Huduma Yangu Na Kila Kinachonihusu Kwa Damu Yenye Nguvu Ya YESU KRISTO Wa Nazareth. Ninalifunika Anga Lote, Nchi Yote Na Bahari Yote Kwa Damu Ya YESU KRISTO. Imeandikwa Katika Ufunuo 12:11 " Nao Wakamshinda(shetani) Kwa Damu Ya Mwana Kondoo(YESU) Na Kwa Neno La Ushuhuda Wao" Ewe shetani, Nimeitumia Damu Ya YESU KRISTO Kukushinda Sasa Na Hata Milele Katika Jina La YESU KRISTO, jini mahaba nakutetekeza kwa jina la YESU KRISTO maana Neno la MUNGU katika Yeremia 1:10 kwamba MUNGU ameniweka juu ya falme zote za mashetani ili kuwang'oa mashetani, na kuwabomoa na kuwaharibu na kuwaangamiza kwa jina la YESU KRISTO. Sasa nawaangamiza majini wote waliotumwa kwangu kutoka kuzimu kwa jina la YESU KRISTO Amen.
 
mtoa mada hiyo ni propaganda yako ni O propaganda peleka kwa akina kakobe na kwenye siasa sio huko umegonga ukuta katafute chuo kingine cha propaganda
 
Huo utumwa mwingine siwezi kuukataa hata mimi nauita ni utumwa..hata kama unapewa majina tofauti.

Kuhusu Tanzania; Pale karioakoo kuna vijana wakiume wanalalwa na waarabu ili wapewe baraza ya kupiga usingizi mpaka asubuni. vijana hawa wamtokea vijijini kwa sababu mbalimbali.
Wasomali ndio wanaoongoza kwa kuja na makontena nchini:spy:. Unadhani ni nani wanaotekeleza hiyo biashara?
Je tunaweza ku-justify Utumwa wa mtu mweusi unaofanya na ufalme wa Saudi na Qatar kwasababu hata sisi tuna utumwa unaoendelea. Hizi imani za jino kwa jino shida sana...

........chuki zako hazitakusaidia ! Papa wa Roma - Vatican amelaumiwa mpaka na UN kwa kuwaachia Mapadre kulawiti watoto wabeba mishumaa Kanisani kisha kuwalinda wahalifu !........Kanisa limetumia mpaka Pesa kulipa fidia ili kuwalinda wakosaji ! ..........shame on you ! :A S 112::A S 112:
 
........chuki zako hazitakusaidia ! Papa wa Roma - Vatican amelaumiwa mpaka na UN kwa kuwaachia Mapadre kulawiti watoto wabeba mishumaa Kanisani kisha kuwalinda wahalifu !........Kanisa limetumia mpaka Pesa kulipa fidia ili kuwalinda wakosaji ! ..........shame on you ! :A S 112::A S 112:

Hakuna unachoweza kuhoji wala kujadili kwenye uislamu. Wanaofanys hivyo badala anaitwa apostacy, islamafobia, nk. Ndio maana hao wazungu sa UN wangemuuliza leo hii Muhammad kwanini atumikishe watu utumwa.
Utumwa mbaya ni wa kukataa kuhoji kwa kisingizio kuwa utapoteza imani. I can't help ya.
 
Mashekh wenu mbona wanauza SEMBE hapa nchini hilo nyinyi hamlijui au kwakuwa wanakuwa matajiri na kuwasaidia kwa fedha haramu ndio mnapiga kimya ? Mkombozi wameshatoa tamko mara kadhaa na wakachapisha taarifa kwenye gazeti la kiongozi, kuwa pesa ilikuwa imelipiwa kodi kabla hawajaipokea.. Unatunga stori.
KAma fedha ilikuwa HAramu:

Kilaini kaona pesa ya moto, anataka kurudisha !........serikali inapeleka mahakamani watu woote waliohusika na Escrow na Waziri Muhongo, Tibaijuka na Mwanasheria wamejiuzulu ! huo uhalali wa hiyo pesa uko wapi !? :yawn:
 
Hakuna unachoweza kuhoji wala kujadili kwenye uislamu. Wanaofanys hivyo badala anaitwa apostacy, islamafobia, nk. Ndio maana hao wazungu sa UN wangemuuliza leo hii Muhammad kwanini atumikishe watu utumwa.
Utumwa mbaya ni wa kukataa kuhoji kwa kisingizio kuwa utapoteza imani. I can't help ya.

Hata Waisrael walikuwa watumwa pale Misri ! Wakitumikishwa na watu weusi !
Umesoma kisa cha Nabii Yusuf !? ..........yeye aliuzwa na kununuliwa kama Mtumwa. Muhammad SAW hakuwepo wakati huo. Una hoja !? :yawn:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom