IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,027
- Thread starter
- #81
Fact yani ukiugusa uislamu tu ni shida tu....thread ya kawaida BT imekuwa nongwa...Mjibu mwenzako kwa hoja, na vifungu ama vya ktk biblia au Qur'an, ( kama unaijua), ukijibu namna hii unaangusha ukristo. Hivi kwa nini ndugu zang wa kristo mnakuwaga si wavumilivu ktk masuala haya? Mara nyingi hukimbilia kashfa au matusi. Mnaitia DOA dini kiasi cha kutilia shaka ukweli wake.