Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,368
Kama ni kukariri ina maana tumesoma mahali kisha tukakariri.
weka ushahidi Ibrahim aliwahi kukanyaga mecca na kuweka msingi msikiti wa al aqsaMfano mecca ndio mji bora duniani kuliko wowote.
Jerusalem ni mji muhimu katika historia ya kiislamu ..nabii Adam aliamrishwa na mwenyezi Mungu kuweka msingi wa msikiti was Al- aqsa ambao upo hadi Leo.
Jerusalem ndio ambao mitume wa mwenyezi Mungu wengi waliishi pale.
Madina ndio mji aliozikwa mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu.
Huu ndio ukweli ila unapingwa kwa matusi na kejeli.
Iko pembeni mwa dunia?Chukua tufe ama ramani kisha angalia Mecca iko wapi.....usikariri tu. Kama ni wewe unachora ramani na kutaka Tanzania iwe kati ya dunia unaweza fanya hivyo pia, ndiyo maana nimesema msikariri tu vitu inabidi muelewe. Mecca kiualisia HAIKO kati kati ya dunia, hii ni Imani potofu tu.
Na wewe weka ushahidi Yesu aliwahi kufika Vatican!weka ushahidi Ibrahim aliwahi kukanyaga mecca na kuweka msingi msikiti wa al aqsa
Unajua maana ya neno "kukariri?"
Uzi utafingiwa kwa ajili yako. Si umeona sasa umbo la shetani lilivyo wakati mwanzo ulijifanya hulijui? Uwe unavuta bange asubuhi.
Kama ulivyoaminishwa wewe kwamba Yesu alipaa na ukaamoni kumbe ni uongo mtupu!Yes, kama ufanyavyo wewe. Yaani unaaminishwa kitu usichokijuwa kisha una kopi then unapaste. Kuna maana nyingine zaidi ya hapa?
Yesu ni Mungu Kuna sehemu Mungu hayupoNa wewe weka ushahidi Yesu aliwahi kufika Vatican!
Vipimo ulivyotumia vyote ni vya kidini. so kusema ni mji ni kwa vigezo vya kidin bado haijajitosheleza.Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
Mungu aliyeuawa na wanadamu aliowaumba mwenyewe? Unacheka kama zuzu.....Yesu ni Mungu Kuna sehemu Mungu hayupo
Kama ulivyoaminishwa wewe kwamba Yesu alipaa na ukaamoni kumbe ni uongo mtupu!
Isa alikufa?edwayne
Pole sana kwa kudhani kuwa Yesu alipaa.
Tatizo tujijadili la kupaa Yesu mada itafungwa. Maana hapo wazungu ndipo walipotutawala kiakili kwa kutuaminisha Mungu alimchukua Yesu mbinguni kwa kupaa. Huo ni uongo mkubwa kabisa kupata kutokea. Anyway huko sitaki kwenda. Kwenye Quran imeandikwa kila binadamu lazima atakufa. Sasa kama Quran ilisema hivyo halafu Mtume Muhammad apae mbinguni wakati alikuwa binadamu Quran ingekuwa imesema uongo mkubwa kama ambavyo biblia isivyo na ushahidi kuhusu kupaa kwa Yesu.
Nitafafanua kwa kirefu mtu akitaka kujifunza.
Kwa hiyo kwa Mtume Muhammad kufa ni faraja kubwa maana hapo hakuna udanganyifu wa kiimani kama ilivyo kwa ukristo.
Kuna mambo makuu mawili kwenye hoja yako.Angalia sasa firahuni huyu....kwa kuwa wewe mwenyewe umeleta suala la dini hapa ngoja nikupe somo ujitafakari. Hivi kwa akili yako, unafikiri ukristo na uislam ni dini zetu sie waafrika? Uislam na kitabu chao ni kwa ajili ya waarab tu na ndiyo maana manabii wao wote huko kasoro nabii Issa ni waarab HAKUNA Mtanzania hata mmoja. Kwa ukristu, ndani ya biblia majina yote yaliyomo mule ni ya kiyahudi na kila kitu kizungumzwacho mle ni kwa ajili ya Israel TU wala si Tanzania au Afrika ukiondoa Misri. Hizi dini tuliletewa na kuaminishwa vitu sivyo vyetu huku tukisusa Imani za mababu zetu na ndiyo maana mpaka leo Afrika as a whole tumelaanika kususa mababu zetu kufuata vitu tusivyovijuwa, tunakaririshwa tu na kuvifanya kuwa vyetu. Ni ujinga na upuuzi sana huu na ndiyo maana tunadharauliwa sana. Angalia China, India, na mataifa mengine duniani....hawazitaki kabisa hizi dini za watu wengine kwa sababu hazina tija kwao. Miaka ya nyuma na pia kuna baadhi ya sehemu China mpaka leo hii, ukibainika wewe ni muislam unafungwa ama kuuliwa. Wanataka watu wafuate dini zao za kutukuza na kuabudu mizimu yao. Sie huku kama wewe Malyenge unaona sifa kutukuza dini za watu wa nje na kujishebedua.
Yesu alikufa?Isa alikufa?
Isa siyo Yesu. Si nfo mnavyosemaga?Isa alikufa?
tuonyeshe kaburi lakeMungu aliyeuawa na wanadamu aliowaumba mwenyewe? Unacheka kama zuzu.....
Unataka kuona kufa kwake ama kaburi lake?tuonyeshe kaburi lake