Jamani nimeamua kuwa muazi wana Jf mm ni Msagaji
Siku ukinikuta nimechafuka unga usishangae ila tanesko wananiuz sana
Mbona lines mbili zina information nyingi hadi hazieleweki?
- Mtoa mada ni msagaji
- Kuna swala la unga ambalo linahusika ila sijalielewa
- Mtoa mada kakereka na Tanesco.
Hizi info zimeungana kivipi?
Ngoja tumsikilize sasa...
Mbona jamaa kajieleza vizuri??
Kama wewe una mashine ya kusaga nafaka utaitwaje?? Na utafanyaje kazi bila Ngeleja kuwa hewani???
Babu DC!!
ndo naelewa sasa hivi lakini atakua hajielewi kwa nini neno msagaji kaliwekea hivyo?ili tuelewe nini sasa chaa