Mdude Nyagali atimiza siku 244 gerezani

Mdude Nyagali atimiza siku 244 gerezani

vijana tujifunze kutumia muda wetu kufanya mambo ya maana na sio kukimbilia mambo yatayohawaangusha wale wanaotutegemeana kuwaacha na masikitiko kila siku, haya sasa uanaharakati umemfikisha wapi?
 
Wakina steve
vijana tujifunze kutumia muda wetu kufanya mambo ya maana na sio kukimbilia mambo yatayohawaangusha wale wanaotutegemeana kuwaacha na masikitiko kila siku, haya sasa uanaharakati umemfikisha wapi?
Wakina steve Biko wangekuwa na mawazo Kama yako c ajabu apartheid ingekuwepo mpaka Leo.
 
View attachment 1674143

Mfungwa wa kisiasa Kamanda Mdude Nyagali leo ametimiza siku 244 Jela ambako amewekwa kwa kesi isiyo na dhamana

Kwa mara ya kwanza alishitakiwa kwa makosa ya Uhujumu uchumi lakini baada ya kuthibitika kwamba Mhujumu uchumi huyo mpya mapato yake kwa mwezi hayafiki hata Tsh laki moja , akabadilishiwa mashitaka na kushitakiwa kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya , huku ushahidi ukionyesha kwamba hajawahi kuuza wala kumiliki hata Ugolo .

Nachukua nafasi hii kumuomba Mungu ili aingilie kati na kuhakikisha haki inatendeka .
Umeshaenda kumuona?
 
View attachment 1674143

Mfungwa wa kisiasa Kamanda Mdude Nyagali leo ametimiza siku 244 Jela ambako amewekwa kwa kesi isiyo na dhamana

Kwa mara ya kwanza alishitakiwa kwa makosa ya Uhujumu uchumi lakini baada ya kuthibitika kwamba Mhujumu uchumi huyo mpya mapato yake kwa mwezi hayafiki hata Tsh laki moja , akabadilishiwa mashitaka na kushitakiwa kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya , huku ushahidi ukionyesha kwamba hajawahi kuuza wala kumiliki hata Ugolo .

Nachukua nafasi hii kumuomba Mungu ili aingilie kati na kuhakikisha haki inatendeka .

Wote wanaotesa wenzao kwa sababu za kisiasa watayalipa tu!!
 
Mdude is cool, angekuwa anaogopa jela angeshakimbia nchi siku nyingi.

Infact anafanya mazoezi jela ili kujiweka vizuri kiafya ya mwili na akili.
Unapost upuuzi kwa kuwa wewe upo nje. Angekuwa ndugu yako usingejaribu kuandika huu upuuzi.
 
Mdude is cool, angekuwa anaogopa jela angeshakimbia nchi siku nyingi.

Infact anafanya mazoezi jela ili kujiweka vizuri kiafya ya mwili na akili.
Kwa hiyo Lisu na Lema ni waoga?
 
Alitaka mwenyewe kwenda huko. Namuombea aendelee kutimiza ndoto zake
 
Muhimu hapo ni pesa Kama zipo akae nao meza moja awape anunue uhuru wake arudi mtaani.
 
Ni kweli. Inaweza ikawa mwisho mzuri au mbaya.
Kupoteza muda wote huo kwaajili ya siasa za nchi hii ni upumbavu.
Imesaidia nn sasa.
Je pana yeyeto duniani amewahi wasilence watu akaweza.
Kelele za mlango uwanyima usingizi uncivilized uneducated unexposured tu.
 
Back
Top Bottom