Mdude Nyagali atimiza siku 244 gerezani

Mdude Nyagali atimiza siku 244 gerezani

Mwanadamu ukifika miaka 70 ndo utagundua vyoote ulivyotenda umeukimbiza tu upepo, utatamani urudi nyuma uwaombee msamaha uliowakosea na utopata mda huo
 
View attachment 1674143

Mfungwa wa kisiasa Kamanda Mdude Nyagali leo ametimiza siku 244 Jela ambako amewekwa kwa kesi isiyo na dhamana

Kwa mara ya kwanza alishitakiwa kwa makosa ya Uhujumu uchumi lakini baada ya kuthibitika kwamba Mhujumu uchumi huyo mpya mapato yake kwa mwezi hayafiki hata Tsh laki moja, akabadilishiwa mashitaka na kushitakiwa kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya , huku ushahidi ukionyesha kwamba hajawahi kuuza wala kumiliki hata Ugolo.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu ili aingilie kati na kuhakikisha haki inatendeka.
Trust me Diwani kwa haya lazima Mwenyezi Mungu ataingilia kati! na huponi asilani!
 
View attachment 1674143

Mfungwa wa kisiasa Kamanda Mdude Nyagali leo ametimiza siku 244 Jela ambako amewekwa kwa kesi isiyo na dhamana

Kwa mara ya kwanza alishitakiwa kwa makosa ya Uhujumu uchumi lakini baada ya kuthibitika kwamba Mhujumu uchumi huyo mpya mapato yake kwa mwezi hayafiki hata Tsh laki moja, akabadilishiwa mashitaka na kushitakiwa kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya , huku ushahidi ukionyesha kwamba hajawahi kuuza wala kumiliki hata Ugolo.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu ili aingilie kati na kuhakikisha haki inatendeka.
Huo ushahidi wa kwamba hajawahi kuuza hata ugolo yafaa kuutunza vema ili akiwa mahakamani ufikishwe.
 
View attachment 1674143

Mfungwa wa kisiasa Kamanda Mdude Nyagali leo ametimiza siku 244 Jela ambako amewekwa kwa kesi isiyo na dhamana

Kwa mara ya kwanza alishitakiwa kwa makosa ya Uhujumu uchumi lakini baada ya kuthibitika kwamba Mhujumu uchumi huyo mpya mapato yake kwa mwezi hayafiki hata Tsh laki moja, akabadilishiwa mashitaka na kushitakiwa kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya , huku ushahidi ukionyesha kwamba hajawahi kuuza wala kumiliki hata Ugolo.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu ili aingilie kati na kuhakikisha haki inatendeka.
Mleteni Amsterdam aje amtetee, avheni ujinga,
Hata yeye anatakiwa kutetewa na wakili wa kimataifa ambaye ni mzungu.
 
Mimi nikajua utakuja na tamko la chama Namna ya kudeal na kesi yake ili awe huru na maisha yake kumbe upo kutafuta Huruma isiyokuwa na tija Wala mashiko katika kumuokoa Kamanda.

All in all poleni Sana wanafamilia wa Mdude Ila pia iwe fundisho wa wachumia siasa waliobaki..

Usimwamini Mwanasiasa.

Usimwamini Mwanasiasa.

Usimwamini Mwanasiasa.

Hatima yako itakuwa mbaya tu huku ukimuacha yeye akila milo kamil na familia yake.
Hayo anayotendewa yapo kisheria?Wanasiasa wameruhusiwa kutesa na kuonea Wananchi? Mkuki kwa nguruwe...
Ipo Siku tutawakumbuka kina Mdude,anaponyanyaswa Mtanzania bila sababu na watawala ni jukumu la kila mmoja wetu kupaaza sauti kupiga.Tukichelea maana kulia...Ukimdhalilisha Mdude nawe Siku yako ikifika utaadhirika na hakuna atakayekutetea.
 
Mdude is cool, angekuwa anaogopa jela angeshakimbia nchi siku nyingi.

Infact anafanya mazoezi jela ili kujiweka vizuri kiafya ya mwili na akili.
Vipi wewe hupendi hayo mazoezi ya kujiweka sawa?
Fichua id yako kama mdude kisha uporomoshe ushuzi ili na wewe ukafanye hayo mazoezi huko selo, mazoezi ambayo kina TUNDU LISU wameyakimbia, ila kwa mdude anayapenda.
 
Hayo anayotendewa yapo kisheria?Wanasiasa wameruhusiwa kutesa na kuonea Wananchi? Mkuki kwa nguruwe...
Ipo Siku tutawakumbuka kina Mdude,anaponyanyaswa Mtanzania bila sababu na watawala ni jukumu la kila mmoja wetu kupaaza sauti kupiga.Tukichelea maana kulia...Ukimdhalilisha Mdude nawe Siku yako ikifika utaadhirika na hakuna atakayekutetea.
Anza kupaza na kupiga kerere wewe na utoke huko nyuma ya keyboard.
 
Wakina steve

Wakina steve Biko wangekuwa na mawazo Kama yako c ajabu apartheid ingekuwepo mpaka Leo.
Ndiyo maana mliitwa wapumbavu na marehemu Mkapa! Nyinyi mnaota ndoto za Biko, Solomon Mahlangu, Ahmed Kadhrada, Tutu, Mondlane etc. Kwa nchi iliyokwisha jitawala! Hiyo ni bhange inawasumbua.
Yaani mnajifanya eti Lissu ni Savimbi! Wapi na wapi?
 
Safi sana kamanda, endelea kutumikia matokeo ya ujinga ulioutafuta kwa kupenda sifa zisizokuwa na tija
 
Anza kupaza na kupiga kerere wewe na utoke huko nyuma ya keyboard.
Umeshasikia sauti niliyopaza na ndiyo maana napata mwangwi wa Nazqur.Na huo ndiyo mwanzo wa ngoma,wataka nitoke nyuma ya keyboard wakati nawe wajificha huko huko?
Huyo anayewanyanyasa Watanzania wenzetu atadumu milele?
 
View attachment 1674143

Mfungwa wa kisiasa Kamanda Mdude Nyagali leo ametimiza siku 244 Jela ambako amewekwa kwa kesi isiyo na dhamana

Kwa mara ya kwanza alishitakiwa kwa makosa ya Uhujumu uchumi lakini baada ya kuthibitika kwamba Mhujumu uchumi huyo mpya mapato yake kwa mwezi hayafiki hata Tsh laki moja, akabadilishiwa mashitaka na kushitakiwa kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya , huku ushahidi ukionyesha kwamba hajawahi kuuza wala kumiliki hata Ugolo.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu ili aingilie kati na kuhakikisha haki inatendeka.
Matokeo ya kutaka sifa za kutukana kila mtu hovyo mitandaoni
 
Back
Top Bottom