Atakuwa anajua sana ndio maana kalitumia neno vyema ila shida huo moto unaenda kwa njia ya mpitisho, mnururisho au ile nyingine.Anaelewa maana ya kupeleka moto au anasema tu..😂
Huyu jamaa ana malezi mabovu sana.Anaelewa maana ya kupeleka moto au anasema tu..
EWURA yenyewe imesema ni Kati ya sh. 102 na 195 huko ilikoshuka 300 ni wapi Mkuu?Inaonekana Mdude humiliki gari hali inayopolekea hata kushindwa bei ya mafuta ilikua shilingi ngapi. Mbona bei imeshuka kwa zaidi ya shiling mia tatu?
Kwani mwenye CHADEMA mwenyewe Mbowe anasemaje? 👋🏿😂 maana kila wiki anaenda Ikulu kula biriyan.Huu ni ujumbe toka kwa kijana machachali na mwanaharakati wa CHADEMA , Akihaidi kumpelekea moto mtu ambaye hajamtaja jina, CHADEMA INA WATU
View attachment 2247830
Hatari snHuu ni ujumbe toka kwa kijana machachali na mwanaharakati wa CHADEMA , Akihaidi kumpelekea moto mtu ambaye hajamtaja jina, CHADEMA INA WATU
View attachment 2247830
Gharama ya usafiri wa kukodi trucks za mizigo Kutoka Dar to Mza had msm zimeongezeka Kwa zaidi ya 1 million, iyo mia 3 inapunguza nn.Inaonekana Mdude humiliki gari hali inayopolekea hata kushindwa bei ya mafuta ilikua shilingi ngapi. Mbona bei imeshuka kwa zaidi ya shiling mia tatu?
Walimtafuna?😁Huyu toka wamemteka na kumtafuna akili yake haipo sawa
Anasema anataka akuoe,sema mahari yako kiasi wazazi wako waletewe mzigoKwani mwenye CHADEMA mwenyewe Mbowe anasemaje? maana kila wiki anaenda Ikulu kula biriyan.
Sana , walimtesa mno, Hana hamu anaweza hata kumtukana Rais akili haipo sawaWalimtafuna?😁