Mdude Chadema ahaidi kuendelea na mapambano

Mdude Chadema ahaidi kuendelea na mapambano

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,206
Reaction score
162,774
Ameandika hivi kupitia twitter:

Nimeamka na kusali kisha nika-google na kusoma kisa cha imamu hussein mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) alipopambana mpaka mwisho akitetea kile anachokiamini,Nikasoma kisa cha wanafunzi wa YESU walivyouwawa kikatili wakitetea iman yao hakika nimepata ari ya kuendelea na mapambano.
 
Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.
 
kumbuka kuna kodi yake katika hiyo hospitali aloenda kutibiwa,vipi unaikumbuka vzuri issue ya korosho?
Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.
 
kumbuka kuna kodi yake katika hiyo hospitali aloenda kutibiwa,vipi unaikumbuka vzuri issue ya korosho?
Ni sawa Kodi yake ipo yeye alisema hospital za serikali hazina uwezo wa kutibu hata mende SI angeenda kutibiwa ulaya au hospital za private .Alivyokuwa akitukana hospital za serikali Mimi Nilifikiri Ni mmoja wa wale matajiri wanaotibiwa hospital za Bei mbaya za binafsi kumbe Ni mtu mchovu tu kimaisha anayetukana mamba wakati mto Bado hajavuka mto uliojaa mamba
 
Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.
Pumbavu!
 
Ni sawa Kodi yake ipo yeye alisema hospital za serikali hazina uwezo wa kutibu hata mende SI angeenda kutibiwa ulaya au hospital za private .Alivyokuwa akitukana hospital za serikali Mimi Nilifikiri Ni mmoja wa wale matajiri wanaotibiwa hospital za Bei mbaya za binafsi kumbe Ni mtu mchovu tu kimaisha anayetukana mamba wakati mto Bado hajavuka mto uliojaa mamba
Pumbavu tena!!
 
Ni sawa Kodi yake ipo yeye alisema hospital za serikali hazina uwezo wa kutibu hata mende SI angeenda kutibiwa ulaya au hospital za private .Alivyokuwa akitukana hospital za serikali Mimi Nilifikiri Ni mmoja wa wale matajiri wanaotibiwa hospital za Bei mbaya za binafsi kumbe Ni mtu mchovu tu kimaisha anayetukana mamba wakati mto Bado hajavuka mto uliojaa mamba
Kumbe Alisema hivyo? Huyo bora wangemchoma sindano ya sumu afe tu
 
Mapambano ya Nini anapigania Nini Cha kueleweka.Ambacho mtu hata ukiulizwa useme mdude anapigania hiki Cha kueleweka Kwa mfano aliandika kuwa serikali inanunua ndege wakati. Hospital za serikali ziko hoi hazina dawa Wala hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!!! Alipopata tatizo kakimbililia kutibiwa hizo hospital za serikali alizosema hazina uwezo wa kutibu hata mende!!!!! MDUDE anapigania Nini? Ujinga mtupu.

Wakati mwingine mtu unawachoka wanadam, ssa kma ni hivyo si angeenda hata ulaya akatibiwe, na ukimuuliza swali nchi ina hospitali na vituo vingapi hana jibu. Inachosha Sana watu Hawa.
 
Nadhani ni wakati wa CHADEMA kufanya mabadiliko katika nafasi zake za uongozi. Asa ya Katibu mkuu na mwenyekiti Bavicha.
Ukatibu Mkuu apewe mtu kama Heche na Upande wa Bavicha wanatosha watu jamii ya Mdude. Sio yule mmasai anashinda anaonyesha mwanya tu. Hawana impact yoyote na ni waoga sana kwa siasa za nyakati hizi.
 
Back
Top Bottom