MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
MDOGO WANGU ANAKUJA HOME KUTOKA UDSM, kisa amekosa mkopo. Anasoma BA.Statistics. Mi mwenyewe na babayangu ( HAKI YA MUNGU) ni wakulima. Halafu hata nauli ya kuja home hatujapata! Wee acha tu, sababu hujui inavyo uma. Hivi tunaweza kuruusiwa kumwona RAIS? Dogo ni 1st yr UDSM.