Mdogo wangu anatafuta shule ya kufundisha physics na math o level

Nikijiunga na hiki chamade cha uwalimu upuuzi wa kwanza kushughurika nao ni huu shule inaajiri asiye mwalimu inabidi huyo mtu afungwe.

Kuwe na heshima na taaluma za watu then kwa matokeo yoyote ya kitaaluma lawama kwa walimu
Nyie ndo wachawi wa maendeleo, nani alikwambia kufundisha hadi uwe na cheti cha makaratasi tu? Kuna walimu wazuri kuliko ww mwenye cheti vhenye pass ya kubahatisha udsm tena umekipt kwa sup nyingi tu, naomba uelewe kufundisha ni kipawa na sio vyeti visivyo na msingi
Kuwa na taalumu sio tija je unachokifundisha kipo na kama kipo kwanini serikali iwakataze wakati ni vijana wamejiajiri kupitia elimu zao.
Wewe kusoma kadegree kako ka ualimu ndo unajiona uko matawi sana mfyuuuuu watu tupo vizuri nhatusumi huo ualimu wako ila tunafundisha wadogo zetu tulichopatiwa darasan tena sio na mwalimu mwenye profesional mheshimu kila mtu broh
 
Nyie ndo wachawi wa maendeleo, nani alikwambia kufundisha hadi uwe na cheti cha makaratasi tu? Kuna walimu wazuri kuliko ww mwenye cheti vhenye pass ya kubahatisha udsm tena umekipt kwa sup nyingi tu, naomba uelewe kufundisha ni kipawa na sio vyeti visivyo na msingi
Kuwa na taalumu sio tija je unachokifundisha kipo na kama kipo kwanini serikali iwakataze wakati ni vijana wamejiajiri kupitia elimu zao.
Wewe kusoma kadegree kako ka ualimu ndo unajiona uko matawi sana mfyuuuuu watu tupo vizuri nhatusumi huo ualimu wako ila tunafundisha wadogo zetu tulichopatiwa darasan tena sio na mwalimu mwenye profesional mheshimu kila mtu broh
Kipawa wameshindwa kukiona huko kote ulikopita wakati wa masomo yako, una ng'ang'ana humu JF tukitambue wakati hata ID ni feki.
 
Nyie ndo wachawi wa maendeleo, nani alikwambia kufundisha hadi uwe na cheti cha makaratasi tu? Kuna walimu wazuri kuliko ww mwenye cheti vhenye pass ya kubahatisha udsm tena umekipt kwa sup nyingi tu, naomba uelewe kufundisha ni kipawa na sio vyeti visivyo na msingi
Kuwa na taalumu sio tija je unachokifundisha kipo na kama kipo kwanini serikali iwakataze wakati ni vijana wamejiajiri kupitia elimu zao.
Wewe kusoma kadegree kako ka ualimu ndo unajiona uko matawi sana mfyuuuuu watu tupo vizuri nhatusumi huo ualimu wako ila tunafundisha wadogo zetu tulichopatiwa darasan tena sio na mwalimu mwenye profesional mheshimu kila mtu broh
Una tatizo kichwani hasa pale mtu ana assist kuheshimu taaluma then wewe unakuja kuandika mashundu alafu ulivyo mjinga unasema mchawi wa maendeleo...Your seriously unaingilia taaluma yangu wewe unani destruct mimi instead mimi niseme wewe mchawi wa maendeleo yangu wewe tena ndio unaniita mimi.

Hakuna nilipojiona matawi nakuelekeza heshima na nidhamu fanya sasa ila hili suala nikipata nafasi watu kama ninyi nitawachukulia sheria inayostahiri.

Kutoheshimu trauma za watu unaita mapambano.
 
Nimesoma sekondari Olevel na Advance, kote kipindi cha likizo, jamaa wasio waalim walikua wakitufundisha mapindi tuition na walinisaidia kupata div 1.7 O level na 1.5 PCM advance. Shuleni walimu wengi walikua chai na shallow. Hivyo, usikariri maisha mkuu. Currently mimi ni lecturer katika chuo kikuu kimojawapo na huku wahadhiri huchukuliwa moja kwa moja toka bachelor ya taaluma husika e.g uhasibu, engineering nk na wanapelekwa kufundisha. Bado hufundisha vema kuliko hao waalimu wenye proffessional hiyo.
Unaifahamu wizara ya elimu ndg? Kuna miongozo ya wizara, hujasomea education huwezi ajiriwa km mwalimu. Mambo siyo reja reja km unavyofikiri. Afungue tuition centre hakuna wa kumfuatilia. Ajira ina vigezo
 
Hicho sasa ni kichekesho kikubwa.
Yani Lecturer anachukuliwa mwenye just digirii????

Unavijua vigezo vya TCU
Ndio. Wahitimu wa bachelor wenye GPA kuanzia 3.8 huajiriwa Kama Tutorial assistant, na kupelekwa kusoma Masters kwa ajili ya kuwa assistant lecturers then PhD for lecturer position.huko kote hakuna kufundishwa ualim Wala kufundisha
 
Ndio. Wahitimu wa bachelor wenye GPA kuanzia 3.8 huajiriwa Kama Tutorial assistant, na kupelekwa kusoma Masters kwa ajili ya kuwa assistant lecturers then PhD for lecturer position.huko kote hakuna kufundishwa ualim Wala kufundisha
Unadanganya sana. Upo chuo gani icho? Au ni Idiots International University?
 
Una tatizo kichwani hasa pale mtu ana assist kuheshimu taaluma then wewe unakuja kuandika mashundu alafu ulivyo mjinga unasema mchawi wa maendeleo...Your seriously unaingilia taaluma yangu wewe unani destruct mimi instead mimi niseme wewe mchawi wa maendeleo yangu wewe tena ndio unaniita mimi.

Hakuna nilipojiona matawi nakuelekeza heshima na nidhamu fanya sasa ila hili suala nikipata nafasi watu kama ninyi nitawachukulia sheria inayostahiri.

Kutoheshimu trauma za watu unaita mapambano.
Wewe kinachokuuma nini haswa kama huwezi kutoa mchango kaa pembeni hujalazimishwa ualimu nayo ni taaluma yakutuvimbia sisi wasiopenda maendeleo ni wachawi kama wewe.
 
Habari za muda huu viongozi, nimatumaini yangu kuwa mko fit. Bila kuchelwa najua humu kuna wakuu wa shule mbalimbali, wafanyakazi na n. k, mdogo wangu amekomea form six kielimu kutokana na changamoto ya kukosa mkopo hakwenda chuo hivyo anawaomba wanajf msaada apate angalau kibarua cha kufundisha masomo ya sayansi haswa physics na math, anapatikana mwanza maeneo ya igoma.
Niliwahi kutoa tangazo siku za nyuma kidogo,

Tunahitaji Mwalimu wa Math na physics. Shule ipo mkoani Katavi

Piga. 0754576401
 
Unaifahamu wizara ya elimu ndg? Kuna miongozo ya wizara, hujasomea education huwezi ajiriwa km mwalimu. Mambo siyo reja reja km unavyofikiri. Afungue tuition centre hakuna wa kumfuatilia. Ajira ina vigezo
Mkuu uko sahihi tatizo watu wanaishi kwa kukariri system ya miaka ya 90 na 80 na miaka ya sasa enzi za walimu wa upeeee na voda fasta serikali ilikuwa ikiajiri

Enzi zile bana ni kweli form six ilikuwa na nguvu sana ilikuwa inaheshimika sana vijana waliomaliza form six walikuwa wako vizulii na walipata fursa ya kazi
 
Back
Top Bottom