Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 502
- 899
Habari za wakati huu wanajukwaa,
Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne Alipata ufaulu wa Division 2 na alisoma masomo ya Sanaa(arts) Kapata selection ya chuo cha uhasibu Dar es salaam (TIA) lakini kwa uchumi wangu sasaivi sijasimama kwaio itakua changamoto kidogo kumudu ada ya 890,000/= kwa mwaka .
HIVYO BASI:
Kama kuna mdau yeyote anafahamu Hatua za kufuata ili mdogo wangu apate shule ya serikali yeyote ndani hata nje ya Dar es salaam naomba anipe mwongozo tafadhari.
0627092821
Natanguliza shukrani
Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne Alipata ufaulu wa Division 2 na alisoma masomo ya Sanaa(arts) Kapata selection ya chuo cha uhasibu Dar es salaam (TIA) lakini kwa uchumi wangu sasaivi sijasimama kwaio itakua changamoto kidogo kumudu ada ya 890,000/= kwa mwaka .
HIVYO BASI:
Kama kuna mdau yeyote anafahamu Hatua za kufuata ili mdogo wangu apate shule ya serikali yeyote ndani hata nje ya Dar es salaam naomba anipe mwongozo tafadhari.
0627092821
Natanguliza shukrani