Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,342
- 34,747
Ualimu ni taaluma kama taaluma zingine.Anakipaji cha kufundisha na nimuzoefu pia
Nyinyi ndio mnazalisha watoto vilaza kwa kulazimisha wasio na vigezo wapewe nafasi na wao wafundishe.
Sasa huyo dogo wa kidato cha sita anajua nini huyo?